Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Kuna waafrika wabaguzi sana, na wadini sana. Hapo msomali unataka afanyiwe figisu mpaka waishiwe ndio mfurahi sio? Msomali atabakia msomali na hawezi kuwa mwafrika, na mwafrika hawezi kuwa msomali, ndivyo ilivyo kwa waarabu, wahindi na wazungu. Sasa wao hujiona sio waafrika, unataka wawe waafrika kwa lazima!!

Hizi nchi zilizo na manaswara ni tabu tupu, ukiwa muislamu utafanyiwa zengwe kukwamishiwa mambo yako, ukiwa mtu wa race flani utafanyiwa figisu sana sana ili wasione unafanikiwa. Roho mbaya na hasadi zinawatesa.
Wasomali ni Waafrika.
 
Juzi nilikuwa nikimsikiliza Mzee Kaguta akisema tatizo la Identity Crisis waliyonayo Waafrika haswa wa Pembe ya Afrika haswa Wasudan na Wasomali kwamba wanajiona kuwa ni Waarabu wakati sio Waarabu ila wamekuwa Arabized Kushians.
 
Ungesoma historia ya Wasomali wanaoitwa kenya Somalis ambao kuna Counties nne Kenya ambayo wanaishi wasomali kama wazawa na ni waKenya kama nchi yao pia na haki zote
Nazo ni Mandera, Garissa, Wajir na Tana River na zote zina mipaka na Somalia

Upande wa kuingia Serikalini hilo pia inaonekana wengi hawalijui including you
Kuwa kulikuwa na wapo Mpaka Jeshini wamejaa na mawaziri mpaka Jaji mkuu na majaji wengi Kenya ni asili ya kisomali

Jamaa wamesoma sana
Na hawana usaliti kabisa ndio maana wanapewa vyeo vikubwa sana nchini Kenya

Kuna wakati walitaka kumpindua Moi na walipanga wakuu wote wa majeshi kuanzia Anga, Maji na Ardhi walikubaliana ila msomali aliekuwa mkubwa nae kati hizo nyadhifa alimwambia Moi unapinduliwa na ikawa historia
Msomali akaula na kuwa Mkuu wa Majeshi
Sasa hebu sema kama wabantu walitaka kumpindua ndugu wa damu na jamaa akaipenda amani zaidi vipi hapo

Natamani wenye nchi wangechungulia uzi huu

Kuhusu biashara wanalipa kodi kuliko hata wengine hapo
Zamani wahindi wali dominate biashara zote Ila msomali alipoanza kuuza bidhaa zote kwa bei chee mhindi akapotea kwenye biashara

Constructions zinazoendelea ni wao kila sehemu
Na sisi tunahitaji watu kama hao watuchangamshe ila ukiritimba mwingi kwetu
Wengi hawaji kwa masharti ila pia Kenya ni kwao tofauti na sisi
 
Wasomali ni wazuri sana kwa kupiga deal za pesa, wengi hawaamini kwenye kuajiriwa, bora aendeshe Uber or truck ajipangie ratiba yake ya kazi au aanzishe store ndogo tuu auze wali na nyama ya mbuzi, Maisha yao focus kubwa ni kutafuta pesa na kuzaa tuu, ni kweli Wana ukabila between themselves na wanajiona superior kuliko waafrica wengine, lakini in general hawana shida na waafrica, kwa US wengi ni madereva wa malori na biashara ndogo ndogo, tatizo culture yao inawamaliza US na kuwafanya Kuwa watu wa hovyo, ile culture ya kuzaa na wake wanne inawafanya vijana wengi wa kisomali kuishi in single mother house so vijana wengi wanaoishi in gangs na mwisho mbaya, mfano Minneapolis na San Diego gang kubwa, murder na crime nyingi zinafanywa na wasomali nasikia wamezidi hata weusi sasa, future yao ni mbaya Kwa US vijana wao wengi wanaishia jela tuu na wanawake wao wengi Wana matatizo na drugs and alcoholism
 
Nenda na wewe gaza ukapigane huku unaimba ule wimbo maarufu wa kigaidi " Allahu akbar"ubutuliwe na IDF ili uende peponi ukafanye ngono na dada zako wale 72. Hivi wapo na wachina na wajaluo na wahindi au muddy kawaandalia waarabu tu?
Bado hubajibu swali NASEMAJEEE NASEMAJEEE NIANDALIENI BIKIRAA MARIAAA NIMFUMUE RINDERRRR
 
Nachowakubali wasomali ni loyalists. Kuna mmoja alikua JWTZ, dereva wa mzee mmoja wa kinyamwezi ambaye alikua mkuu wa kambi ya jeshi Mpanda miaka ya katikati ya 80.
Jamaa alikua humble sana na mtiifu sema bosi wake alikua bandidu msomali wa watu alikua anapelekeshwa. Alikua na kalio msomali basi bosi wake full kumchezesha mazoezi asinenepe hovyo.
 
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
Na wewe uwe unaelimika kabla kudanganya watu wasomali kinachowagombanisha kwao ni clans ingawa sijawahi kuwapenda hawa watu ,wanajionaga bora kuliko race za sisi wabantu na huu uselfish wao ndio unawafanya kwao kila mtu anajiona bora wanaishia kupigana miaka yote
 
Back
Top Bottom