Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Kwani wewe hutaki kwenda kufanya ngono peponi na mabikira 72? Hakuna kulala ni kupigana miti tu,pembeni kuna Osama bin laden, Mullah Omary,Alzawahil,muddy, Marehemu rais wa Iran etc etc
Aaahaaa
 
Wew
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
e bibi ya gidion moi mbona unachuki na waislamu walikufanya nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Umoja, kama walivyo , wahindi, waarabu, wachaga, wakinga, waha. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Fedha itazunguka Kati Yao kabla hamjatoka nje , hivyo kukuza biashara zao.
Hiyo Strategy nzuri sana.
 
Kenya wanafanikiwa kwa sababu siyo Wakenya wote ni Wasomali. Wakiwa pekeyao hawawezi kufanikiwa.

Ndiyo maana kote duniani Wasomali wanafanikiwa wakiwa kwenye nchi zenye makafiri wengi
Pia wamesoma sana
 
Katika hao mabikra 72 je na bikra wenu Maria yumo? Kama yumo niwekee oder nije nimtoe rinder
Hapa ndio mnaponishangaza, Yesu ametajwa kwenye kitabu chenu na mnamtambua kama Nabii wa Mungu hamuishi kumkejeli na kumkebehi. Bikira Maria pia katajwa kwenye kitabu chenu ila ona unachoandika hapa?! Kulikuwa na namna nzuri ya kumjibu huyo jamaa kuliko hicho ulichoandika. Hapo ni dhahiri unakejeli kitabu chako.
 
Kwa hakika Makafiri wamepotea laiti wangelitambua! Ahsante kaka kwa kunirekebisha
Na huu ndio ujinga kwenye dini. Umewahi kufa? Umewahi kukutana na Mungu akakuambia dini yako ni ndio yenyewe hawa wengine nitawachoma moto?

For the love of God just for once come to your sense. Chukulia Wewe ni Muislamu unaswali Swala tano lakini kila ukitoka swala ni lazima upitie kuiba ndio urudi. Halafu jirani yako haamini katika dini yoyote isipokuwa anaishi kwenye upendo tu, asichopenda kutendewa hamtendei mwingine. Mwisho wa siku nani ana nafasi ya kuiona pepo kati ya nyie wawili?

Unahisi dini inakusaidia nini ikiwa wewe ni jambazi na mnyang'anyi?

Unaweza kutoa pesa ya mwisho kupeleka sadaka nyumba ya ibada wakati nyumbani watoto hawajala?

Huoni kwamba dini ni jambo la ziada baada ya matendo yako?

Unaweza kumtofautisha Mungu na Dini?

Unaweza kutofautisha Imani na Dini?

Uzuri hata ambae hajamskia Mungu naye atahukumiwa tu kwa matendo yake, kwa sababu binadamu anajua lipi jema lipi baya automatically.
 
Hapa ndio mnaponishangaza, Yesu ametajwa kwenye kitabu chenu na mnamtambua kama Nabii wa Mungu hamuishi kumkejeli na kumkebehi. Bikira Maria pia katajwa kwenye kitabu chenu ila ona unachoandika hapa?! Kulikuwa na namna nzuri ya kumjibu huyo jamaa kuliko hicho ulichoandika. Hapo ni dhahiri unakejeli kitabu chako.
Usijifanye mjuaje kumbe kinyesi tu! Yesu na Nabii Essa ni vitu viwili tofauti, Mariam na Maria ni watu tofauti.

Kwanza nyinyi makafiri yesu si ndio mungu mtu wenu?
 
Na huu ndio ujinga kwenye dini. Umewahi kufa? Umewahi kukutana na Mungu akakuambia dini yako ni ndio yenyewe hawa wengine nitawachoma moto?

For the love of God just for once come to your sense. Chukulia Wewe ni Muislamu unaswali Swala tano lakini kila ukitoka swala ni lazima upitie kuiba ndio urudi. Halafu jirani yako haamini katika dini yoyote isipokuwa anaishi kwenye upendo tu, asichopenda kutendewa hamtendei mwingine. Mwisho wa siku nani ana nafasi ya kuiona pepo kati ya nyie wawili?

Unahisi dini inakusaidia nini ikiwa wewe ni jambazi na mnyang'anyi?

Unaweza kutoa pesa ya mwisho kupeleka sadaka nyumba ya ibada wakati nyumbani watoto hawajala?

Huoni kwamba dini ni jambo la ziada baada ya matendo yako?

Unaweza kumtofautisha Mungu na Dini?

Unaweza kutofautisha Imani na Dini?

Uzuri hata ambae hajamskia Mungu naye atahukumiwa tu kwa matendo yake, kwa sababu binadamu anajua lipi jema lipi baya automatically.
Maneno mengi kumbe ushuzi tu, si bora mimi ninae a mini Islam kuliko nyinyi makafiri mnaamini mtu anakunya na kujamba eti ndio mungu wenu??? Mtu huyo alieuliwa msalabani kwa akili ya kawaida mungu gani auliwe na aliewaumba?? Nyinyi si ndio mnaoabudu lisanamu la yesu na Maria???
Nyinyi si ndio mnaosali kwa kuomba??? Na mkikosa nyimbo mnaimba wimbo wa taifa???? Nyinyi si ndio kila kukicha mnaamrishana muwe mashoga???
 
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
Actually ugomvi wa wasomali ni between clans. Wasomali wapo organized in Clans (wenyewe wanaziita ni quabil i.e kabila)..
Clans historically fought for grazing lands i.e resources especially when desertification became unsustainable for their lifestyles.
Islam has nothing to do with it.
Same thing with Yemen, which used to host a lot of Somali refugees.
Sudan followed and now people from maghreb infiltrates the southern Saharan regions of Burkina Faso, Nigeria and Cameroon.
All in all Kikuyus still have a way bigger piece of the cake and control Kenyan money markets. Aintt no way Somalis can economically outshine Kikuyus.
 
Kuna waafrika wabaguzi sana, na wadini sana. Hapo msomali unataka afanyiwe figisu mpaka waishiwe ndio mfurahi sio? Msomali atabakia msomali na hawezi kuwa mwafrika, na mwafrika hawezi kuwa msomali, ndivyo ilivyo kwa waarabu, wahindi na wazungu. Sasa wao hujiona sio waafrika, unataka wawe waafrika kwa lazima!!

Hizi nchi zilizo na manaswara ni tabu tupu, ukiwa muislamu utafanyiwa zengwe kukwamishiwa mambo yako, ukiwa mtu wa race flani utafanyiwa figisu sana sana ili wasione unafanikiwa. Roho mbaya na hasadi zinawatesa.
kwanini wasijenge kwao
 
Nimesoma Jarida moja linasema Ukristo unakuwa kwa kasi sana huko Somaliland na Djibouti.
 
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini hata hao waarabu wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine, ukiingia jamiiforums yao inayoitwa somalinet utakutana na nyuzi nyingi sana zikiwaponda waafrika wengine hasa wabantu, Ni kwamba wabantu ni ngumu kuishi kukiwa na wasomali wenye power aidha economically, popilation au kisiasa.

Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
Mimi sio mkenya lakini wasomali wana umoja sana Uingereza kuna supermarket zinaendeshwa na wasomali kila moja anashika kitengo chake. Unakuta ni ubia wa watu wengi kuna wanaosimamia kitengo cha matunda, Nyama, Bakery na spices kila mtu anasimama katika kitengo chake.
 
Back
Top Bottom