Indeed , wanaleta swagger kwenye maisha, ubishoo na u sister duu wa kuchagua chagua ndo huwapeleka kwenye depressionUlimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".
Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.
Connection inaanza kwa HR akikwambia njoo ndio unaenda akikwambia usije endelea kusugua bench,Huna connection
Na kundi hilo depression ni kubwa mno hadi wanazeeka kabla ya umriIndeed , wanaleta swagger kwenye maisha, ubishoo na u sister duu wa kuchagua chagua ndo huwapeleka kwenye depression
Ni kweli..Wakikubali kuanza ukurasa mpya wa maisha kwa kukubali kuwa elimu sio kitu kama huwezi kujihudumia mwenyewe basi itakua mwanzo mpya ya mafanikio kwa wasomi wengi
Mkuu Kuna kitu kinaitwa UNYONYAJI kuna siku nikitulia nitaandika uzi nielezee, vijana wengi wanakumbana na hio situation bila msaada wowote wa watu wa Serikali hususani viwandaniUlimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".
Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.
Hiyo ipo sana hasa huku kwa watu weusiMkuu Kuna kitu kinaitwa UNYONYAJI kuna siku nikitulia nitaandika uzi nielezee, vijana wengi wanakumbana na hio situation bila msaada wowote wa watu wa Serikali hususani viwandani
mtazamo chanya ni upiHakuna anayewaonea wivu , mna mitazamo hasi kuhusiana na maisha
.Ukishaondoka hapo kwa shem ukaanza kujitegemea 100% , utaujua mtazamo chanya ni upi
Wakija mtaani wakakutana na hali tofauti wanachanganyikiwa na kupata msongo wa mawazo , coz wana high expectation than realityDah inasikitisha sana, mimi muda mwingine naona vijana kusoma mpaka huko juu ni kama wanawaharibu ubongo wao "Brainwashed" maana hawana maono wao maisha ni kazi wavae tai.[emoji16] ilikuwa zamani hio.
Huna akili , kwa hiyo wewe kilaza na akili yako fupi kama mkia wa mbuzi unataka watu wawe wanasoma mpaka chuo kikuu halafu warudi kufanya kazi za kipumbavu kama hizo ? Tena wengi wamezoea hawa kwa pesa za serikali ,hizo pesa za walipa kodi si bora zingetumika kufanya vitu vya msingi ? ,Yaani mtu asome awe Engineer ,doctor , mwanasheria nk aje kuuza uji na kufanya usenge mwingine ,aisee ,kuna watu ni mataahira sanaUlimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".
Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.