Wasomi hawa wafuatao, wafikishwe mahakamani haraka sana!

Wasomi hawa wafuatao, wafikishwe mahakamani haraka sana!

Umetukosea sana tena sana wasomi kwa kumuweka Nape kwenye kundi la wasomi. Nape alikuwa sahihi kabisa kwa level yake ya elimu hata kama ukimwambia paka anaweza kumzaa nyangumi atakubali.
Mkuu, yeye yupo upande wa siasa mkuu, nitaedit aisee
 
We naye hujitambui, mtu kafanya utafiti sasa utamkamataje? Wao wali recommend kwamba baada ya bwawa kujengwa miti ifidiwe mahali pengine na Serikali ilifanya hivyo ilipanda sio chini ya miti million 1 within the vicinity.

Kingine mazingira ni suala mtambuka madhara yake hayaonekani ndani ya mwezi mmoja ila ecology ikiwa disturbed inaweza leta madhara miaka hata 25 ijayo, so kama hauna elimu ndio utapima impact za mazingira ndani ya miaka 5.

Nachoweza shauri kila mtu asimamie taaluma yake, kama madhara yanaweza kuwa mitigated basi mnafanya mradi kwa kufuata ushauri ila kusema kwamba tafiti ni za uongo na kuamini wanasiasa kuliko watafit ni kifo cha taifa lolote lile.
Mpaka sasa utafiti huo umeleta impact ipi mkuu
 
Poleni watu wa Dar kwa mafuriko, watu wa Hanang'i, kule Morogoro, Geita, Mwanza n.k, Pole na hongera pia kwa Serikali kwa kuwajali wahanga wa mafuriko na kuwapatia mahitaji na vitu kadha wa kadha vya kibinadamu.
Mafuriko ya el Nino yanatokana na mgandamizo wa hewa huko mashariki ya mbali wala haina connection na miti ya Tanzania. Hata mvua zile za vuli huwa zinatokana na misitu ya Congo huko!! So geography inategemeana kwa nchi moja hadi nyingine na sio necessarily madhara yaonekane sehemu A pekee. Ukiwa na elimu ndogo haya mambo huwezi elewa utaongozwa na ushabiki.

Ni kama tu serikali JPM ilivyokua inakataza tusikate miti kwa ajili ya mkaa huko Selous je walikosea? Kisa tu mvua zinanyesha basi tuendelee kukata miti kwa ajili ya kuni? Au ikiwa vice versa ndio utapeli.


View: https://youtu.be/7hhfvrDm4Lc?si=9m4yt4sbsdcayxHp

Msikilize JPM mwenyewe akieleza madhara ya ukataji miti selous itakavyoathiri nchi miaka 23 ijayo.
 
Back
Top Bottom