Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Kurundika vyuo vikuu vingi nchini ni kuongeza idadi ya masikini nchini, wasomi ni waoga kujaribu fursa
 
Mambo mengine ni vichekesho kabisa hawa wasomi wa siku hizi wamekuwa na hoja dhaifu sana yaani mtu anarudi mtaani kufanya kazi aliyokuwa anaifanya mzazi au mlezi wake kwa taabu ili amsomeshe chuo halafu wanasema kajiongeza?

Kama ni hivyo kumbe hata anaeishia darasa la saba au form four halafu akaenda kutafuta maisha yake anajiongeza basi.

Huko sio kujiongeza ni mgangaji tu kama wangangaji wengine. minadhani ingekuwa amejiongeza kama angekuwa ametengeneza bajaji yake kwa ubunifu wake halafu ndio anaiendesha hapo sawa. Yaani kuwa dereva bajaji wa kawaida iwe inshu pengine hata bajaji sio yake anapeleka hesabu?! No! no! no! Ieleweke tu kwamba ameamua kuwa dereva wa bajaji kama kazi aliyoamua na si vinginevyo kuwaambia watu waige mfano wake eti kajiongeza. Kulikuwa na haja gani ya kusoma kote huko halafu uje kuendesha bajaji za watu angetengeneza yakwake tuone elimu ilivyo msaidia sio kwa hilo hapana bana.
Imagine wazazi wako masikini na wewe umemaliza chuo.
Kama ukishindwa kupata ajira ungafanyaje?

Au ungeendelea kuwa tegemezi kwa hao wazazi masikini?
 
This is just too low, stupid and pathetic kuona graduates wanakuwa na mawazo mafupi namna hii.
Na hii ni dalili tosha mfumo wetu wa elimu unatengeneza watu ambao hawajui wanataka nini kwenye maisha yao.
Unatengeneza mategemezi sababu wao wana ndoto ila hakuna execution.
Hakuna execution sababu ni waoga wa kuanzia chini hivyo wanaendelea kuota if hawatopata ajira.
Unatengeneza watu ambao hawana critical thinking hawafikirii mbali wanafikiria now tu like huyo dada hawezi kuwekeza mpaka kufikia hatua ya kununua bajaji nyingine mpaka hatua ya kumiliki company yake ndogo ya usafiri mpaka kufikia kumiliki company kubwa.
Huo ni mfano wazi kwamba mfumo wetu wa elimu unatengeneza watu wasiokuwa na uwezo wa kufikiria mbali bali unatengeneza tanks of useless knowledge yaani watu waliokariri.
Unatengeneza watu ambao ni kwa ajili ya kuajiriwa tu that's why sekta binafsi ni chache na hakuna ajira sababu kila mtu ana wazo la kuajiriwa au kuibuka na kitu kikubwa bila kuanzia chini.
Pia unatengeneza watu ambao ni waoga na watu wa kushindwa kuona fursa zilizopo na kuzikuza.

All in all kwa hizi comments zenu inaonesha mfumo wa elimu unachukua asilimia 20 tu na asilimia 80 ni wazi asilimia 90 ya africans hawana akili hata wawe na PhDs.

Still serikali badilisheni mfumo wa elimu sababu ni hatari kwa taifa kutengeneza watu ambao hawawezi kuona wala kufikiria mbali.

Badilisheni mfumo wa elimu kusave next generations.
Kama right now asilimia kubwa ya graduates wapo nyumbani and the government haiwezi kuajiri wote basi in few next decades umasikini utaongezeka kwa kiwango kikubwa considering kila mwaka wanazalishwa wengine.

Serikali badilisheni or should I say boresheni mfumo wa elimu or we'll see jinsi umasikini utakavyokuwa Tanzania

Kingine kwa hizi comments zenu basi baada ya 5 years mtarudi kwenye huu uzi wengi wenu mtakuwa mpo palepale mlipo leo au hali itazidi kuwa mbaya zaidi.
Just wait.
 
View attachment 1660302

Tofauti na mawazo ya wengi kuwa ukisoma hadi chuo kikuu lazima uajiriwe, Mwasu Mavere ameonyesha upande mwingine wa shilingi, kwamba unaweza kujiajiri na kufanikiwa zaidi. Licha ya kuwa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), yeye ameamua kuwa dereva wa pikipiki ya miguu mitatu (bajaji) akisafirisha abiria katikati ya makao makuu ya nchi, Dodoma.

Dada Mwasu anasema wasomi wengi wanatembea na bahasha miaka hadi mitatu bila kupata kazi, kumbe wangeuza hata karanga zingewaingizia kipato badala ya kuzunguka na vyeti. Hata hivyo, anasema mfanyabiashara msomi ni tofauti na asiyesoma, kwa kuwa ile elimu aliyonayo msomi anaitumia kufanya vizuri kwenye biashara zake. “Kuna wasomi wengi wanaendesha bajaji na bodaboda na wapo wengine wengi mtaani wanatafuta kazi, hawajajua kuwa kuna kazi ya kuendesha bajaji na kujipatia fedha kama walioajiriwa, hivyo niwatake waache kuchagua kazi,” alisema Mwasu alipozungumza na Mwananchi.

Mwasu alianza shughuli za usafirishaji abiria Desemba 2018 katika eneo la eneo la Royal Village, Dodoma lakini baada ya muda alihamia katikati ya mji ili kupata abiria wa pande zote. Anasema wasomi wengi wanatembea na bahasha miaka hadi mitatu bila kupata kazi, kumbe wangeuza hata karanga zingewaingizia kipato badala ya kuzunguka na vyeti.

Hata hivyo, anasema mfanyabiashara msomi ni tofauti na asiyesoma, kwa kuwa ile elimu aliyonayo msomi anaitumia kufanya vizuri kwenye biashara zake. “Kuna wasomi wengi wanaendesha bajaji na bodaboda na wapo wengine wengi mtaani wanatafuta kazi, hawajajua kuwa kuna kazi ya kuendesha bajaji na kujipatia fedha kama walioajiriwa, hivyo niwatake waache kuchagua kazi,” alisema Mwasu alipozungumza na Mwananchi.

Mwasu alianza shughuli za usafirishaji abiria Desemba 2018 katika eneo la eneo la Royal Village, Dodoma lakini baada ya muda alihamia katikati ya mji ili kupata abiria wa pande zote. “Elimu yangu ni masters, lakini mshahara mdogo niliokuwa nalipwa ndio uliosababisha nikaamua kuacha kazi na kujishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo kuuza nguo na hatimaye nikaanza kuendesha bajaji,” anasema.

Mwasu, mama wa watoto wawili anasema mshahara aliokuwa analipwa ambao haukukidhi mahitaji yake wala kuendana na kiwango chake cha elimu, ulisababisha akaichukia ajira akaamua kujiajiri mwenyewe.Alisema mwaka 2009 alihitimu shahada ya sociology and political science nchini Kenya na baada ya hapo alirudi nchini na kufanya kazi katika NGOs mbalimbali.

Ilifopika mwaka 2011 aliamua kujiendeleza katika Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) huku akiendelea kufanya kazi. Alihitimu mwaka 2013 shahada ya uzamili katika utawa (Masters of public adminstration). Alisema wakati anafanya kazi kwenye shirika lisilo la kiserikali la Afnet alikuwa programme officer na field officer baada ya muda akahamia katika shirika jingine la Ngonedo ambapo alikuwa monitoring and evaluation officer (ufuatiliaji na tathmini).

Mwasu alisema katika kipindi alichofanya kazi hakuwa na mshahara uliokuwa unazidi Sh390,000 kwa mwezi, ambao amesema haukuwa unakidhi mahitaji yake. Alisema kipindi hicho anafanya kazi alikuwa na mtoto mdogo, hivyo kutokana na mahitaji yake kuwa mengi na mshahara mdogo alipomaliza shahada ya uzamili aliamua kuacha kazi na kuanzisha biashara mbalimbali ikiwemo kuuza nguo. “Hela hiyo haikuwa inakidhi mahitaji yangu, mwisho wa siku nikaona ili nisiingie kwenye vishawishi vya kuiba fedha ofisini ili kukidhi mahitaji, bora niache kazi, niliona ni bora kujiajiri mwenyewe kuliko kuajiriwa kwani nilichokuwa ninalipwa hakilingani na elimu yangu.

“Wakati huo nafanya kazi, nilikuwa nakusanya hela kidogo kidogo na kuna siku nilienda field, pesa niliyolipwa na zile akiba zangu nikaamua kuanzisha biashara kwa mtaji wa Sh400,000. Nilikwenda Kariakoo (Dar es Salaam na kuchukua mzigo wa nguo na kuja kuuza Dodoma.” Alisema Mwasu, biashara yake ilikuwa vizuri na alikuwa anaingiza fedha kuliko zile alizokuwa analipwa wakati ameajiriwa.

Biashara hiyo aliifanya kwa muda mrefu hadi akawa anasafiri kwenda China pamoja na wafanyabiashara wengine kuchukua mzingo wa nguo na kuuza nchini. “Katika biashara kuna kuinuka, lakini pia unaweza kushuka. Biashara yangu ilikuja kuwa mbovu nikawa napata hasara, si kila siku ni kupata faida, hasara kwa mfanyabiashara haikwepeki nawakati huo tayari nilikuwa nishapata mtoto wa pili. “Licha ya hasara hiyo, sikukata tamaa badala yake nikaamua kubadilisha kazi ya kufanya. Niliamua kuachana na biashara kabisa na kuwa dereva bajaj,” alisema.

Endelea kufahamu Kilichomfanya aendeshe bajaji na Manufaa yake pamoja na Changamoto aipatayo kupitia link >>> Mwasu, dereva wa bajaj mwenye shahada mbili

View attachment 1660415
Kwa hiyo lienda Chuo ili ajekuwa Derev Bajaji?
Mbona hiyo kazi wala haihitaji hata kwenda Kindergaten
 
Kwa kweli mimi nampongeza kwa sababu kwanza kuna tatizo la ajira ambalo ni la kidunia.

Sasa kwa vile ajira hakuna na yeye ni msomi amejiajiri kwa kutumia hiyo bajaji....lengo ni kupata means of survival ya familia yake..na amefanikiwa ktk hilo.

Anaweza kuonekana amepoteza muda ktk masomo na kuwa kama alijua angeendesha bajaj basi asingehangaika kusoma. Ila tunasahau kuwa tuna mfumo unaozalisha graduates wengi na asilimia ndogo sana hupata ajira.

Thousands wanabaki mitaani bila ramani...sasa kuliko ubaki mtaani na hata buku ya vocha ikushinde na una masters....na umepata fursa ya kuendesha Bajaj...kwa nini usiichukue as a starting point ikufichie aibu ya kutokumudiu mahitaji yako?

Kiini cha tatizo ni aina ya elimu tuipatayo...haituandai kuyakabili maisha ya mtaani...haitufundishi kuanzisha biashara na kuiwekeza.

Huyo dada yuko ktk mchakato wa kuijua elimu ya kibishara...kipi bora uwe na masters yako umekaa ndani na huna kazi...au una masters na unajitahidi kufanya kazi ambayo hata si ya taaluma yako na inakuingizia kipato..?
 
To be honest hizi comments za graduates wa humu and I'm pretty sure wengine since 2015 na mpaka leo wapo nyumbani wanaendelea kuwa mategemezi.

Comments zao zinadharirisha mfumo wa elimu.

Yaani ni hopeless.
I'm telling you kama hutonyanyuka kutoka hapo kwenu basi tegemea ufike 50 hapohapo sababu ajira ni ndoto in this period.

Msomi anayejitambua ni yule anayechukua ideas na opportunities ndogo then kuzikuza or if wanna wake up rich then you better keep dreaming because that's not gonna happen.

Or subiri wenye akili wazikuze then utaenda kuomba job and getting paid.
 
To be honest hizi comments za graduates wa humu and I'm pretty sure wengine since 2015 na mpaka leo wapo nyumbani wanaendelea kuwa mategemezi.

Comments zao zinadharirisha mfumo wa elimu.

Yaani ni hopeless.
I'm telling you kama hutonyanyuka kutoka hapo kwenu basi tegemea ufike 50 hapohapo sababu ajira ni ndoto in this period.

Msomi anayejitambua ni yule anayechukua ideas na opportunities ndogo then kuzikuza or if wanna wake up rich then you better keep dreaming because that's not gonna happen.

Or subiri wenye akili wazikuze then utaenda kuomba job and getting paid.
Asante kwa maoni yenye tija kwa wanyenyekevu wa moyo !
 
Kusoma hasa elimu ya juu ni pia ku inspire wengine walioko nyuma wasome.
Sasa huyo m UDOM hapo sinananajisi elimu!? Nani atavutiwa na kusoma!? Wengi wanafanya mishe sawa ila usijitangaze kuwa nimesoma level hii etc ni AIBU SANA.
Halafu kazi zipo msidanganye watu kuwa kazi hakuna. Sema ushindani ndio mkubwa.
Huyo dada ni kigezo cha failed system ya nchi.
 
To be honest hizi comments za graduates wa humu and I'm pretty sure wengine since 2015 na mpaka leo wapo nyumbani wanaendelea kuwa mategemezi.

Comments zao zinadharirisha mfumo wa elimu.

Yaani ni hopeless.
I'm telling you kama hutonyanyuka kutoka hapo kwenu basi tegemea ufike 50 hapohapo sababu ajira ni ndoto in this period.

Msomi anayejitambua ni yule anayechukua ideas na opportunities ndogo then kuzikuza or if wanna wake up rich then you better keep dreaming because that's not gonna happen.

Or subiri wenye akili wazikuze then utaenda kuomba job and getting paid.

Wewe ni mjinga mmojawapo. Ingefaa basi tuwasifie wale ambao hawakusoma na wanaendesha bajaji na bodaboda kuliko huyu aliesoma halafu anaenda kuwaingilia wasiosoma . Msomi anatakiwa aongeze value kwenye jamii . Huyu Ameongeza value gani kwenye jamii hata yake tuuu. Takataka ya UDOM.
 
To be honest hizi comments za graduates wa humu and I'm pretty sure wengine since 2015 na mpaka leo wapo nyumbani wanaendelea kuwa mategemezi.

Comments zao zinadharirisha mfumo wa elimu.

Yaani ni hopeless.
I'm telling you kama hutonyanyuka kutoka hapo kwenu basi tegemea ufike 50 hapohapo sababu ajira ni ndoto in this period.

Msomi anayejitambua ni yule anayechukua ideas na opportunities ndogo then kuzikuza or if wanna wake up rich then you better keep dreaming because that's not gonna happen.

Or subiri wenye akili wazikuze then utaenda kuomba job and getting paid.

Wewe ni mjinga mmojawapo. Ingefaa basi tuwasifie wale ambao hawakusoma na wanaendesha bajaji na bodaboda kuliko huyu aliesoma halafu anaenda kuwaingilia wasiosoma . Msomi anatakiwa aongeze value kwenye jamii . Huyu Ameongeza value gani kwenye jamii hata yake tuuu. Takataka ya UDOM.
 
Wewe ni mjinga mmojawapo. Ingefaa basi tuwasifie wale ambao hawakusoma na wanaendesha bajaji na bodaboda kuliko huyu aliesoma halafu anaenda kuwaingilia wasiosoma . Msomi anatakiwa aongeze value kwenye jamii . Huyu Ameongeza value gani kwenye jamii hata yake tuuu. Takataka ya UDOM.
Matusi ya nini ? Jenga hoja tukuelewe
 
Mpe moyo anaweza kua kiuchumi na kesho na kesho anaanzisha big business

'started from the bottom"-drake

[emoji123][emoji123][emoji123]

Upuuzi mtupu!

Endelea kuhorojoka hapo na masters yako ya kuendesha bajaji.
 
Unadhani kwanini asiweze?

Mkuu wewe hautoshi kujitolea mfano ndani ya graduates karibu mill 6 hauwezi fika hata asilimia .05.

Still narudia hamuwezi kufanana mipango na mwingine hata kama muwe na elimu sawa au elimu ya shule ilifundisha kuongea na superstars kama hauna mtaji?

Yeah ila Zuckerberg hakuibuka tu na company from nowhere.

And nani amekwambia Zuckerberg amesomea IT
Wakati hata chuo hakumaliza?
Mkuu zuckeberg alijifunza IT tokea akiwa secondary (Middle school) huko ndio alijua softwares kibao tu na akawa mzuri kwenye software developong alafu chuo alisoma Harvard tofauti ni kwamba hakumaliza tu ila alisoma chuo.

Hoja yangu ni hii, jiajiri kwenye eneo lako kuendana na skills zako. Ni aibu msomi kujisifia kufanya kazi ya darasa la 7 ilihali sekta hta ya sosiolojia tupo nyuma.

Mfano ameshindwa kudesign app ya kusaidia watoto ya yatima/wagonjwa kwa mfumo wa automation? Hapo angekua kajiajiri kupitia elimu yake ya sociology.

Well kasomea utawala... Ameshindwa kuja na mradi wa kusaidia taasisi kuanzia vyama vya ushirika mpaka serikali za mitaa kuwa na efficient management information systems za control zinazoeleweka? Hapo anahitaji mtaji wa mamilion?

Narudia tena huyo dada avuliwe hiyo masters maana hajaitendea haki.
 
Back
Top Bottom