Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Kwa hiyo huwezi kumiliki company ya usafiri inayotumia bajaj sababu hukusoma kuendesha bajaj?
 
Duuuude...hapa kinachoongelewa ni FUTURE ama CURRENT situation??? Maana ushanipoteza tayari.

Binafsi sijaona chochote cha ajabu na ndio maana sioni mantiki ya kusifia ama kusema eti tujifunze kutoka kwake. Tujifunze nini sasa???
 
Bakhresa alianza kuuza urojo saivi ana maviwanda

Hapo je[emoji1787][emoji1787]
Hapana bosi....bakheresa alikuwa focus zaidi labda na huyu mdada naye yupo focused....then nafkiri bakheresa hana degree mbili kwa kukuongezea tu mtoto wa bakheresa Jamali pia alikataa kuendelea na shule akaingia ktk bishara za mzee wake na yeye nafkiri ni second in command ktk hiyo kampuni....inshu ni kujua unataka nini.....huyu dada hakutaka kupata masters kisha akaendeshe bajaji NO WAY ila baada ya kuona hali ilivyobana ndo kajichomeka huko ni jambo zuri.....
wait a minute majaji 2 shi ngapi vile? Huyu alikuwa na base nyingine ya uchumi na atarudi alipokuwa muda si mrefu....Nguvu kubwa ina mpa kiki huyu dada ni kupotosha tatizo lililopo la ajira na kulifanya tatizo ni la mtu binafsi.....

Leo yupo ktk page ya FB ya mwananchi yaaani anakula proma si mchezooooo
 
Sidhan kama neno kujiajiri limetumika vizur hapa hasa ukilinganisha na kiwango cha elimu yake
 
Duuuude...hapa kinachoongelewa ni FUTURE ama CURRENT situation??? Maana ushanipoteza tayari
You can't talk about CURRENT without FUTURE.
Unless you know what's gonna happen in the future.
Binafsi sijaona chochote cha ajabu na ndio maana sioni mantiki ya kusifia ama kusema eti tujifunze kutoka kwake. Tujifunze nini sasa??
Right.
 
Kwa hiyo huwezi kumiliki company ya usafiri inayotumia bajaj sababu hukusoma kuendesha bajaj?
Tofaitisha kumiliki kampuni ya usafiri was bajaji na mimi kuwa dereva was bajaji eti jioni naoeleka kioande kwa bosi au hata kama bajaji ni yangu niwe naendesha mwenyewe ni umbuzi
 
Sasa kama shida/lengo lilikuwa ni kuendesha bajaji alivyohitimu kidato cha nne si angejiunga veta kujifunza ufundi na udereva tu?
Maana yake ni kuwa amepoteza muda wake na rasilimali zake tu.
 
Mavyuo ndiyo yamefunguliwa chungu tele

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Mfano wa kuigwa, sio kila siku kulia lia na kulaumu tu, kumbe maisha yako unayo wewe mkononi mwako, yaani wewe ndiyo unatakiwa kuyafanya unavyotaka na si kusubiri hisani kutoka kwa mwingine
Huyo dada mshamba tu wenzie hata lanne hatujamaliza tunasukuma bajaj yeye hadi na midigrii miwili
 
Hivi elimu ya Tanzania ina ubora gani? Kiwango cha wasomi wetu kutatua changamoto mbalimbali za kimaisha kiko dunia

Achana naye huyo mbuteee ! Kujiajiri yeye anawaza labda uwe na nakampuni la kwako binafsi ??
Anyway tukiachana na huyo Mbutee, Elimu yetu Tanzania imekuwa ikisaidia japo sio sana kwa maana watunga sera wa nchi hii wengi wanachumia matumbo yao na pia mfumo wetu wa Elimu ni Ovyo sana. Watu wanaandaliwa kuwa waajiriwa kuliko kujiajiri, hivyo kupelekea kuwa na Mbutee wengi mtaani kama huyu @MoseKing ...! Hii ni Mbute ambayo haioni kujiajiri kwa kuendesha Bajaji kama kazi ambayo inatosha kabisa kumtoa mtu kimaisha.
Kuna haja ya kupitia upya mitaala yetu na tuachane nayo mitaala ya Enzi za mababu ambayo ililenga kuandaa watu kufanya kazi kwenye ofisi za Wakoloni na sio kujiajiri au kuwa wagunduzi au watatuaji wa matatizo ya kijamii
 
Afisa kipenyo sio!!!
 
Kwani Tanzania Kuna wasomi? au wale wanaokariri darasani?
 
Tulisema tu hiki chuo cha UDOM kitatutolea takataka ona Sasa. Eti mtu ana MASTAZ dereva bajaj. Jinga kabisa. UDOM ni janga jamani.
Bhana wee Tanzania hakuna wasomi, wasomi gani wanashindwa hata kubuni toothpick!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…