Wasomi na vyuo haviaminiki ndomana Sasa hivi ajira mpaka interview (Usajili)

Wasomi na vyuo haviaminiki ndomana Sasa hivi ajira mpaka interview (Usajili)

asa si bora hivo ajira 500 walioomba 1000+, nafasi za bunge afisa utumishi mmoja wameita watu 625, wote inabidi wafike dodoma kwaajili ya usaili

Serikali nayo iangalie hilo suala, kuita watu wengi then nafasi 1, seriously....??
Hizi nafasi moja moja hazina wenyews kweli? Kwamba watu wanaenda kutimiza wajibu wa usaili
 
@wizara ya Elimu Ofisi ya Rais - Tamisemi Sekretarieti ya Ajira Wizara ya Afya Tanzania 01.

Inamaana Serikali haina mfumu mzuri wa Elimu wa kuzalisha watu wanaohitajika katika ajira hadi wahangaike na usaili?02. Wanaowafanyia watu usaili wenyewe walipatikanaje?03. Kwa kada za afya inamaana Sekretarieti ya Ajira hamuamini Tanzania Commission for Universities ,Vyuo na mabaraza TNMC Habari @TMCT General Pharmaceutical Council l wanayotunuku wasomi License baada ya kufaulu mitihani Yao ?

Je hao wanaofanyia wenzao Sasa hivi walipata hizo ajira zao Kwa mfumo gani

Bado hili linaenda kuwakandamiza na kuwaonea watoto wa kimasikini kwanza gharama za kufika kwenye Interview na pia hawana connection hili Bado tatizo Kuna kipindi kwenye kada ya ualimu walizingatia miaka ya kuhitimu ila kila mwanasiasa akiingia anakuja lake


Wenyenacho watabaki kuwa nacho tu kwakuwa mifumo inawabeba tu just imagine mtu kasoma shule ya kata anakuja kushindanishwa na mtu aliyesoma shule za kulipia mwisho wa siku hata akipata iyo kazi hawezi kwenda kijijini kufanya kaziin

@wizara ya Elimu Ofisi ya Rais - Tamisemi Sekretarieti ya Ajira Wizara ya Afya Tanzania 01.

Inamaana Serikali haina mfumu mzuri wa Elimu wa kuzalisha watu wanaohitajika katika ajira hadi wahangaike na usaili?02. Wanaowafanyia watu usaili wenyewe walipatikanaje?03. Kwa kada za afya inamaana Sekretarieti ya Ajira hamuamini Tanzania Commission for Universities ,Vyuo na mabaraza TNMC Habari @TMCT General Pharmaceutical Council l wanayotunuku wasomi License baada ya kufaulu mitihani Yao ?

Je hao wanaofanyia wenzao Sasa hivi walipata hizo ajira zao Kwa mfumo gani

Bado hili linaenda kuwakandamiza na kuwaonea watoto wa kimasikini kwanza gharama za kufika kwenye Interview na pia hawana connection hili Bado tatizo Kuna kipindi kwenye kada ya ualimu walizingatia miaka ya kuhitimu ila kila mwanasiasa akiingia anakuja lake


Wenyenacho watabaki kuwa nacho tu kwakuwa mifumo inawabeba tu just imagine mtu kasoma shule ya kata anakuja kushindanishwa na mtu aliyesoma shule za kulipia mwisho wa siku hata akipata iyo kazi hawezi kwenda kijijini kufanya kazi
Inabidi tu maana graduates ni wengi mno. Ila sasa mtu kamaliza chuo yuko mtaani miaka minne bila ajira hadi kaanza na kufanya mishe zingine ambazo hazihusiani na alichosomea ukimpa interview kweli unamtendea haki?
 
Mim kinacho nishangaza Ni issue ya kwenda kuvia hakika vyeti kwa mwanasheria au mahakamani, yaani hua sielewi Apo
 
asa si bora hivo ajira 500 walioomba 1000+, nafasi za bunge afisa utumishi mmoja wameita watu 625, wote inabidi wafike dodoma kwaajili ya usaili

Serikali nayo iangalie hilo suala, kuita watu wengi then nafasi 1, seriously....??
Kwa hili siwalaumu maana wakiita wachache mtasema wameita ndugu zao tu kwenye usahili
 
Back
Top Bottom