Ingekuwa hekima kama wangeanza kwa kuukemea "ugaidi" uliotendwa na Hamas ndipo waikemee Israel. Kwa kuikemea Israel bila kuonesha kukerwa na ukatili uliotendwa na Hamas kunaweza kutafsiriwa kuwa ni upendeleo wa wazi.Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Kweli kabisa.Ingekuwa hekima kama wangeanza kwa kuukemea "ugaidi" uliotendwa na Hamas ndipo waikemee Israel. Kwa kuikemea Israel bila kuonesha kukerwa na ukatili uliotendwa na Hamas kunaweza kutafsiriwa kuwa ni upendeleo wa wazi.
Hamas waliwaua raia wasio na hatia, wakiwemo watoto. Inasemekana miongoni mwa waliouwa, kuna raia wachache wa kigeni. Kwa hiyo hata Watanzania wangeweza kuingia katika hiyo kadhia kama wangekutwa na Hamas maeneo waliyoyavamia.
Hao raia waliouawa walikuwa na kosa gani? Kama Hamas walikuwa na hasira na Serikali ya Israel, si wangevikabili vyombo vya dola kama Polisi na Jeshi la Ulinzi?
Waliwateka na wengine, si Wayahudi tu, bali hata raia wa Mataifa mengine.
Japo silaha za kivita hazimtofautishi raia na askari , lakini alau kidogo, Israel wameonesha ustaarabu kwa kutoa tahadhari juu ya maeneo wanayoyavamia, hivyo wahusika wanaweza kuchukua tahadhari. Ni tofauti na uvamizi uliofanywa na Hamas.
Kwa mtazamo wangu, tamko halijabalance. Limekaa kiuonevu.
Ngoja waje wachimba chumvi wa hapa Jf kutoa mapovu.
Serikali ya Tanzania ivunje mahusiano na Serikali ya Israeli? Ili iweje?Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Ama kwa hakika wasomi wetu hawa wamejitwisha mzigo mzito sana ambapo wataishia tu kupata jeraha nyingi mioyoni mwao. Katika mambo ya kimwil unaweza kufanya propaganda, lakini kamwe si katika mambo ya kiroho.Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Hilo kundi la hamas issue sio Ardhi bali mambo ya itikadi za kidini na wao wanatumika tu,maamuzi ya Israel kuwazingira ni kwa akili ya usalama wake ,bila hivyo Israel itapokea mashamblizi kila Mara sababu wengine kiimani huamini ukiuwa yahudi unapata thawabuAlichofanya HAMAS ni kitu kibaya sana, laiti Israel isingekuwa inawaoccupy hawa Wapalestina, hayo mambo waliyofanya HAMAS yasingekuwepo. Root cause ya matatizo yote hapo middle east ni occupation ambayo Wapalestina wanasuffer sasa kwa miaka zaidi ya 75.
Urusi ilipoivamia Ukraine na kuchinja waukraine kikatili kule Bucha, Lyman na kwingineko wakachukua miji ya Ukraine hatujauona huo waraka hao wanazuoni walilala?Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Activists! Nihilists! Idiots! Walikuwa wait Hamaa walipovamia na kuu maharusi?Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Fatah wanapambana na HAMAS now.Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Mkuu, nafikiri kuna typing error kwenye post yako. Au mimi ndiyo sijaelewa?Activists! Nihilists! Idiots! Walikuwa wait Hamaa walipovamia na kuu maharusi?
propaganda hiyo.Fatah wanapambana na HAMAS now.
Wanazuoni wanasemaje hapo
Wasomi uchwara Wamaasai wa Ngorongoro wananyanyaswa wapo kimya.Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Wamasai wangapi wamepigwa na ndege za kivita mpaka sasa?Wasomi uchwara Wamaasai wa Ngorongoro wananyanyaswa wapo kimya.
Ukisikia ipunguani ndio huu,mambo ya waarabu yanatuhusu nini ?.
Sema tamko la wavaa Kobazi.Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine uliodumu miaka mingi sana Na wamesema kuwa Kamwe hawatonyamazishwa.
Wanazuoni hao bila ya kujali Dini zao, Kabila zao, Jinsia zao wote kwa pamoja wamejumuika katika ubinadamu na kusema kuwa Manyanyaso ya Kikaburu ya Waisrael yanapaswa kukoma.
NB: Mimi pia nawaunga mkono. Chanzo kikuu cha vurugu huko Palestine siyo HAMAS, maana HAMAS imeanzishwa miaka 30 tu iliyopita lakini kabla ya hapo Israel ilikuwa ikiwafanyia ukatatili Wapalestina, lakini pia tatizo la msingi siyo uwepo wa HAMAS, ndiyo maana hata kule West bank HAMAS haipo lakini wapalestina wa huko nao pia wanauawa kila siku.
Tamko lao ni hili hapa chini.
Polisi wetu waliuwawa kibiti Hao wanazuoni walikuwa Wapi??? takataka tuuHamas walipofanya shambulizi la kushtukiza na kuua waisraeli zaidi ya elfu moja na wengine kuchukuliwa mateka hao wanazuoni walikuwa usingizini? wasituletee uchawa hapa, Israel ina haki ya kulipa kisasi kufuatia raia wao kuuawa na magaidi. Hizo laana zao kwa Israel ziwarudie wao wenyewe na vizazi vyao wenyewe, wasimshirikishe kila mtu wala kuishinikiza nchi.