Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni msomi,ila wewe huwezi kuwa miongoni mwetu,maana msomi aliekamilika hawezi kuandika mashudu kama haya.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Duh....!R inawekwa wapi nawe Silinde
L atanielekeza Msukuma
Msomi wa nini sasa, wa nyuzi za Jf au ? Hivi watoto wa kiume sikuizi mmekuwaje?Mkuu tambua tuu kuwa jokajeusi ni msomi tena sio wa kubahatisha
Dalasa ra[emoji1542]Darasa laNimeshakuambia siurizwi maswari na dalasa ra saba
Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Hebu acha basi mie meno yanauma 😅 😅Nimeshakuambia siurizwi maswari na dalasa ra saba
Apewe uwaziri wa nishati na madiniHari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Hujajua kwa nini wasomi hawawi matajiri na wanaishia kufa mapema baada ya kustaafu kutoka kwenye ajira, profesa wa ujasiliamali only investment ni Lodge Msamvu Morogoro badala ya ndani ya Mikumi National Park au shamba lenye nguruwe 20 na mbuzi na Hilux pickupNaona unatokwa mapovu katika matundu yote saba ulonayo mwilini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaishia theories tu, wasamehe bureNaona unatokwa mapovu katika matundu yote saba ulonayo mwilini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh!Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa
Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?
Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Hizo ndiyo think tanks za CCM.Ally Kessy
Livingstone Lusinde
Msukuma
Hao wote ni comedian.
maada = mada?Tutambuane kisomi mkuu,Ili maada yetu isije kuvamiwa maana hata la saba au form 4, nao ni msomi sikuizi. Wewe unataaluma ya kitu gani,na ni katika level ipi?
Ooh koki imefunguliwaKilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa
Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?
Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!