Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Mimi ni msomi,ila wewe huwezi kuwa miongoni mwetu,maana msomi aliekamilika hawezi kuandika mashudu kama haya.

Wewe ni msomi, na hapo ulipo hujui hata matumizi ya R na L kwenye uandishi wako, lakini pia sijaona matumizi sahihi ya alama za uandishi.Kama wewe ndo aina ya wasomi mnaochipukia Tz, basi ni bora tukubaliane na Msukuma.

Watu wanakuuliza umesomea nini,unawajibu kihuni, msomi unatumia maneno kama "huelewi babu",nani babu yako humu?

Tukiachana na hayo yote, wewe hupaswi kubishana na Msukuma, maana pamoja na hizo unazoziita comedy,bado amekuzidi mbali sana wewe mwenye elimu makaratasi.Ukija kwangu,ukanambia wewe ni msomi,alafu huna hela,huna ajira, hujui kujenga hoja, mimi nakuchukulia kama mtu anaelezimisha puru(mknd) wake utafune muwa, wakati sio kazi uliyoumbiwa.

Unamuona Msukuma mjinga wakati,wewe unashonda jF kulalamikia maisha magumu.Sasa hiyo ni elimu au kinyesi tu.

Maisha Magumu kwako mzee

Nimeandika muandiko wao darasa la saba ili waendelee kutoa burudani
 
Duh....!
Msomi, yaani hata ulichoandika unakataa?
Kwenye uzi wako hapo mwanzo umeandika,
"Hari yenu"
"Bira shaka mpo wazima"
Hapo bado hujaona R palipostahili kuwekwa L?

Kwa hiyo akili yako ilivyo ndogo ukaona siwezi andika kiswahili fasaha?

Huo musukuma aenderee kutoha buludani bugeni

Sema na hapo sasa, sawa Mzee
 
Msukuma ataendelea kuwadharau kwa sababu vyeti vyenu mnaenda navyo bar kuwaonyesha wale wauza kinywaji kuwa mmesoma badala ya kutatua changamoto za Watanzania mpo busy na vitu visivyoeleweka...

Sisi tunamchukulia kama Mchekeshaji wa bunge
Kama vichekesho vyake ndio dharau zake basi hicho nacho ni kichekesho pia

Darasa la saba atamdharau nani labda awadharau walioshindwa kumpeleka shule
 
Ebu nawe fanya kua serious ili tukuweke ktk mzani tuone kati yako na na msukuma nani anazo na hamnazo ni yupi pia

Siwezi linganishwa na Wachekeshaji

Atakachonishinda Msukuma ni kipaji chake cha kuchekesha na umri basii

Vilivyobaki namuacha kwa mbali sana
 
Sisi tunamchukulia kama Mchekeshaji wa bunge
Kama vichekesho vyake ndio dharau zake basi hicho nacho ni kichekesho pia

Darasa la saba atamdharau nani labda awadharau walioshindwa kumpeleka shule
Hoja za kizamani sana hizo unakuta umesoma ila maisha unaishi ya kimasikini na ubinafsi juu wasomi kibao wanalala na ndoo za maji ndani nje akitoka full suti na kapasso kake kutwa kujisifia usomi tafuteni hela Wazee mkisoma sahauni...
 
Hoja za kizamani sana hizo unakuta umesoma ila maisha unaishi ya kimasikini na ubinafsi juu wasomi kibao wanalala na ndoo za maji ndani nje akitoka full suti na kapasso kake kutwa kujisifia usomi tafuteni hela Wazee mkisoma sahauni...

Hahahhaha

Unazungumzia msomi mmoja kwa mia
Hao darasa la saba wao wanaishi maisha yapi?

Nilishaandikaga hapa siwezi shindwa kwenye maisha na mtu aliyelingana na mimi kiumri Alafu kaishia darasa la saba hapa nchini

Wewe kama umezidiwa na huyo Msukuma ni wewe Mzee
 
Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa

Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?

Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Hili jibu lako ni dhahiri wewe sio msomi ila una vyeti tu.

Hakuna msomi wa kijinga kama wa aina yako.
 
Hari yenu humu!

Bira shaka mpo wazima.

Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.

Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.

Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.

Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.

Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.

Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Kwa uandishi huu, nachelea kusema wewe sio msomi.
 
Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa

Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?

Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Heee[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kuna baadh ya mambo usomi Mara nyingi Hua hausaidii mfano ue Baharia ambae umerith toka kwa baba zako na maisha yako yote umekua baharia na mtu ambae kausomea miaka mitano unafikir mtaringana? Ila kwa msukuma Elim yake na Kaz anayo fanya haviendan kabisa sababu Ile kazi Inaitaj Elim kubwa sababu Ina mambo mengi makubwa Sema msukuma Hua anaonekana anajua Sana sababu wasom wengi mle ni wagonga Meza Hua hawajitumi
 
Back
Top Bottom