Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Unakuja na ID mpya 😅 😅Jf Mimi siondoki n'gooo.
Pana raha yake,labda nipigwe ban ya maisha.
Unajianzishia na uzi wa kujiulizia!
Everyday is Saturday................................😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuja na ID mpya 😅 😅Jf Mimi siondoki n'gooo.
Pana raha yake,labda nipigwe ban ya maisha.
Msukuma umtoe Geita?[emoji23][emoji23]Huyu ubunge ndiyo kwaheri next bunge hatakuwepo
Kwa ushahid upi tofauti na utoto tuuonao apa , sema unatafta kufahamika kupitia msukumaSiwezi linganishwa na Wachekeshaji
Atakachonishinda Msukuma ni kipaji chake cha kuchekesha na umri basii
Vilivyobaki namuacha kwa mbali sana
Najua professor Muhongo ndio amewatuma sio kwa za uso zileHari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Dah huwezi kufahamika kwa hiyo ID fake? Nadhan wataktafta kwa ktafta mfeki anaejinasibu kua na intelligence kumzid msukumaDuuuh!
Sasa ID fake nitafahamikaje au ndio akili za darasa la saba zilivyo?
Mleta mada nimemwelewa vizuri sana. Amechagua sanaa na usanii kuwasilisha ujumbe wake. Wewe na Nyani mko stiff eti mnajiita wasomi. Mlitaka athibitishe usomi wake kwa kuandika English ile ya mzee punch wa enzi zile UDSM? Huo ni ulimbukeniMimi ni msomi,ila wewe huwezi kuwa miongoni mwetu,maana msomi aliekamilika hawezi kuandika mashudu kama haya.
Wewe ni msomi, na hapo ulipo hujui hata matumizi ya R na L kwenye uandishi wako, lakini pia sijaona matumizi sahihi ya alama za uandishi.Kama wewe ndo aina ya wasomi mnaochipukia Tz, basi ni bora tukubaliane na Msukuma.
Watu wanakuuliza umesomea nini,unawajibu kihuni, msomi unatumia maneno kama "huelewi babu",nani babu yako humu?
Tukiachana na hayo yote, wewe hupaswi kubishana na Msukuma, maana pamoja na hizo unazoziita comedy,bado amekuzidi mbali sana wewe mwenye elimu makaratasi.Ukija kwangu,ukanambia wewe ni msomi,alafu huna hela,huna ajira, hujui kujenga hoja, mimi nakuchukulia kama mtu anaelezimisha puru(mknd) wake utafune muwa, wakati sio kazi uliyoumbiwa.
Unamuona Msukuma mjinga wakati,wewe unashonda jF kulalamikia maisha magumu.Sasa hiyo ni elimu au kinyesi tu.
Mleta mada ni msanii mzuri sana. Nimeipenda style yake. Yeye na Msukuma wote wasanii wazuriNaona unatokwa mapovu katika matundu yote saba ulonayo mwilini
Kama na wewe ni msomi naanza kuona Msukuma yupo sahihi kwamba kuna watu ni trash. Ingawa kwa Prof Muhongo anakosea sana. Wewe ni aibu na cheti chako cha journalism unajiita msomi.Napenda vioja vyenu darasa la saba
Msukuma yupo sahihi kwani yeye ni mchekeshaji na lengo lake kuu ni burudani pale bungeni
Hakuna mwenye akili atakayemchukulia sirius mchekeshaji
Yaani hapo sasa umemwelewa mleta mada. Anatumia Fasihi kali sanaNaona wewe mwenyewe ni comedian
Sorry to say that
Daah ww kweli masikini mtu awe na majengo ya kukodisha ninyi mpange awe na mtaji wa 500m daah ngoja niishie hapa aisee nipo na kihande...Kwani kkoo mimi sipo?
Hakuna Dsm mwenye umri kama wangu aliyeishia darasa la saba akanizidi kwenye ishu za kiuchumi
Mimi sifanyi uchuuzi
Hao unawataja hapo hata mtaji wao haufiki 500m
Umasikini wako ndio unaokufanya uwaone wamenizidi na mimi
FUTUHI...🤣🤣Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Kama msomi unaona mashambuluzi ya kina msukuma kwa maprof bungeni ni hali ya kawaida, unastahili pole.Nani kadhalilishwa Mkuu?