Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Siwezi linganishwa na Wachekeshaji

Atakachonishinda Msukuma ni kipaji chake cha kuchekesha na umri basii

Vilivyobaki namuacha kwa mbali sana
Kwa ushahid upi tofauti na utoto tuuonao apa , sema unatafta kufahamika kupitia msukuma
 
Kama huna hela, wewe pamoja na walimu wako ni wapumbavu tu.
 
Hari yenu humu!

Bira shaka mpo wazima.

Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.

Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.

Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.

Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.

Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.

Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Najua professor Muhongo ndio amewatuma sio kwa za uso zile




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni msomi,ila wewe huwezi kuwa miongoni mwetu,maana msomi aliekamilika hawezi kuandika mashudu kama haya.

Wewe ni msomi, na hapo ulipo hujui hata matumizi ya R na L kwenye uandishi wako, lakini pia sijaona matumizi sahihi ya alama za uandishi.Kama wewe ndo aina ya wasomi mnaochipukia Tz, basi ni bora tukubaliane na Msukuma.

Watu wanakuuliza umesomea nini,unawajibu kihuni, msomi unatumia maneno kama "huelewi babu",nani babu yako humu?

Tukiachana na hayo yote, wewe hupaswi kubishana na Msukuma, maana pamoja na hizo unazoziita comedy,bado amekuzidi mbali sana wewe mwenye elimu makaratasi.Ukija kwangu,ukanambia wewe ni msomi,alafu huna hela,huna ajira, hujui kujenga hoja, mimi nakuchukulia kama mtu anaelezimisha puru(mknd) wake utafune muwa, wakati sio kazi uliyoumbiwa.

Unamuona Msukuma mjinga wakati,wewe unashonda jF kulalamikia maisha magumu.Sasa hiyo ni elimu au kinyesi tu.
Mleta mada nimemwelewa vizuri sana. Amechagua sanaa na usanii kuwasilisha ujumbe wake. Wewe na Nyani mko stiff eti mnajiita wasomi. Mlitaka athibitishe usomi wake kwa kuandika English ile ya mzee punch wa enzi zile UDSM? Huo ni ulimbukeni
 
Napenda vioja vyenu darasa la saba

Msukuma yupo sahihi kwani yeye ni mchekeshaji na lengo lake kuu ni burudani pale bungeni

Hakuna mwenye akili atakayemchukulia sirius mchekeshaji
Kama na wewe ni msomi naanza kuona Msukuma yupo sahihi kwamba kuna watu ni trash. Ingawa kwa Prof Muhongo anakosea sana. Wewe ni aibu na cheti chako cha journalism unajiita msomi.
 
Kwani kkoo mimi sipo?

Hakuna Dsm mwenye umri kama wangu aliyeishia darasa la saba akanizidi kwenye ishu za kiuchumi

Mimi sifanyi uchuuzi

Hao unawataja hapo hata mtaji wao haufiki 500m

Umasikini wako ndio unaokufanya uwaone wamenizidi na mimi
Daah ww kweli masikini mtu awe na majengo ya kukodisha ninyi mpange awe na mtaji wa 500m daah ngoja niishie hapa aisee nipo na kihande...
 
Hari yenu humu!

Bira shaka mpo wazima.

Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.

Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, 😀😀😀😀 hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.

Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.

Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.

Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.

Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
FUTUHI...🤣🤣
 
Elimu kitu gani? Kua msomi haihalalishi ufanisi wako.
I stand with Msukuma.
Ana Maarifa Mazuri na Bora
 
Tuliaminishwa sisi tumesoma kumbe usomi wa Bongo ni wa kawaida kabisa "Critics and Arguments"ya Kibaji na Msukuma imewaondolea kabisa Maprofesa heshima Zao
 
Kweli msukuma anazingua, lakini na wewe usomi wako utakuwa wa mashaka, hata kuandika hujui?
 
Kama msomi unaona mashambuluzi ya kina msukuma kwa maprof bungeni ni hali ya kawaida, unastahili pole.

Siku ukiangalia stand up comedy ndio utaelewa nilichoandika

Kwa sasa nipokee pole yako tuu
 
Back
Top Bottom