Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa

Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?

Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Umemaliza kazi kwa huyo mataga
 
Bira shaka=Bila shaka.

Tunafulahishwa=Tunafurahishwa

Sirius=Serious

Mapolopesa=Maprofesa

Lasmi=Rasmi

Atufulahishe=Atufurahishe

Ni hayo tu Msomi
 
Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa

Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?

Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Wewe ni nshomile?
 
Bira shaka=Bila shaka.

Tunafulahishwa=Tunafurahishwa

Sirius=Serious

Mapolopesa=Maprofesa

Lasmi=Rasmi

Atufulahishe=Atufurahishe

Ni hayo tu Msomi

Anayeongelewa unajua elimu yake mkuu?
 
Nimeshakuambia siulizwagi maswali na darasa la saba, wapi hunielewi Babu!!!

Unachoweza ku-share na mimi ni futuhi, vioja, na vichekesho vyako, sawa Mzee!

Au ndio umeanza kuniletea vioja hapa
Huyo ni maoni na hayo ndio majibu yake. Halafu anamshangaa King Musukuma!
 
Nimeshakuambia siulizwagi maswali na darasa la saba, wapi hunielewi Babu!!!

Unachoweza ku-share na mimi ni futuhi, vioja, na vichekesho vyako, sawa Mzee!

Au ndio umeanza kuniletea vioja hapa
Huyo ni msomi na hayo ndio majibu yake. Halafu anamshangaa King Musukuma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…