Wasomi UDOM waandamana kumuunga mkono JK kuwa mgombea pekee CCM, akerwa na Zitto!

Wasomi UDOM waandamana kumuunga mkono JK kuwa mgombea pekee CCM, akerwa na Zitto!

Wacha ujinga wewe, hivi ni wapi mleta thread amejinadi kuwa ni mtu fulani? kwa jina au kwa cheo?

Mara nyingi huwa nazipenda na kuheshimu sana thread na post zako, lakini kwa kauli hii umenikwaza. Napata wasiwasi kwamba hata watu ambao tumewazoea kuwa na hekima wanaweza wakati mwingine wakawa wehu. Sasa hapa ujinga unaanzia wapi? Kama una hoja si ulete hoja badala ya kunambia mwenzako mjinga?
 
Binafsi singashangai. By the time nilipokuwa versity ilikuwa ni buku 5, kwenda kwenye mikutani au maandamano ya CCM (unalipwa). Kwa sasa sina hakika ni ngapi lakini nadhani ni zaidi ya hapo. Hali ya kifedha kwa wanafunzi (na watz wengi) ni mbaya... Buku 10 mtu anaandamana tu ingawa najua moyoni mwao sio wanamuunga mkono....
 
Another tragedy....maandamano! michango!
It's too hard to swallow this !!!!
Ooo dear
Mix with yours
 
Bramo,
Mkuu usinifanye mimi mtoto mdogo, I can read between the lines. Unakokwenda ndiko niliamkia mwenzako.. lol! Unakusudi kuandika habari hii na haihusiani na swala lolote zaidi chuki binafsi.. Sina haja ya kutumia neno Udini isipokuwa hizi zinaitwa chuki binafsi kutokana na utumwa wa akili..Sasa kama wewe unajua kwamba hizi fedha hawakuzitoa wao mfukoni zimepandikizwa kwa nini unawaulamu wanafunzi hawa na sio wale waliopandikiza?..Inaingia akilini hii!

Licha ya yote watu wote nchini wanayo haki ya kuchagua mchango wao unakwenda wapi, Ukinyimwa mkopo benki haina maana kesho utaenda kufunga account yako..na wala mtu akikuona una deposit fedha zako haina maana wewe ni cheap. Hizi ndio politics za bongo. wanacheza watu wote wengine tunao humu humu JF ni makada wa CCM piga uwa..

Naelewa kwa Uhakika huko kwenu UDSM wapo wanafunzi wamechangia mfuko wa CCM tena kwa simu zao na hamsemi kitu wala kukusanya data zao ila inapofikia hao wengine mnaowachukia swala liakuwa kubwa. Asilimia 80 ya viongozi wa vijana CCM wamepitia UDSM na hakuna mtu anayezungumza..rais wenu katokea UDSM na pengine nusu ya viongozi wote (kama sii zaidi ya hapo) wa CCM walipitia UDSM mbona sioni mtu akichukia chuo hiki na kuwaita cheap!

Pimeni kwanza malalamiko yenu na sii kuongozwa na chuki binafsi!
 
Binafsi singashangai. By the time nilipokuwa versity ilikuwa ni buku 5, kwenda kwenye mikutani au maandamano ya CCM (unalipwa). Kwa sasa sina hakika ni ngapi lakini nadhani ni zaidi ya hapo. Hali ya kifedha kwa wanafunzi (na watz wengi) ni mbaya... Buku 10 mtu anaandamana tu ingawa najua moyoni mwao sio wanamuunga mkono....


Kuandamana tu bila kumaanisha kwa mwanafunzi wa chuo kikuu....what a great shame!
Wanawambia nini watz wasioenda shule? wanawaambia nini wadogo zao? PITY PITY
Yaah hawa ni watoto wa wakulima na wa TUCTA eeeh ! aaaa its a great pity! wengine hawajamaliza kuchangia ada wanadaiwa....oooh dear
Mix with yours
 
Aaaah Chuki binafsi hizi. Jamani walioandamana ni wanafunzi wanachama wa CCM mlitaka waandamane kwa chama gani au ndio ukiwa CCM basi wewe ni Muislaam Ukimuunga mkono JK wewe ni Muislaam.. Heee hizi chuki binafsi za makanisani sijui zitaisha lini hali CCM wanazidi kutupiga bao.
Na amini maneno yangu kama mtaendelea na tabia hii JK atashinda vibaya sana, wananchi hawatafuata tena chama wala sera ila dini ya mgombea na hapo mtakwisha. CCM have it all! Ina Wabunge Wakristu karibu kila jimbo lenye Wakristu wengi na Waislaam sehemu za Waislaam wengi, vyama vingine havina hata wabunge wa kutosha majimbo yote..Kazi kwenu wana kristo!
Chuki binafsi haziwezi kuzaa matunda bali mtaumia roho zenu hadi siku mnatiwa kaburini...
 
Aaaah Chuki binafsi hizi. Jamani walioandamana ni wanafunzi wanachama wa CCM mlitaka waandamane kwa chama gani au ndio ukiwa CCM basi wewe ni Muislaam Ukimuunga mkono JK wewe ni Muislaam.. Heee hizi chuki binafsi za makanisani sijui zitaisha lini hali CCM wanazidi kutupiga bao.
Na amini maneno yangu kama mtaendelea na tabia hii JK atashinda vibaya sana, wananchi hawatafuata tena chama wala sera ila dini ya mgombea na hapo mtakwisha. CCM have it all! Ina Wabunge Wakristu karibu kila jimbo lenye Wakristu wengi na Waislaam sehemu za Waislaam wengi, vyama vingine havina hata wabunge wa kutosha majimbo yote..Kazi kwenu wana kristo!
Chuki binafsi haziwezi kuzaa matunda bali mtaumia roho zenu hadi siku mnatiwa kaburini...
Kwenye mada hii dini imeingiaje mkuu?
 
Aaaah Chuki binafsi hizi. Jamani walioandamana ni wanafunzi wanachama wa CCM mlitaka waandamane kwa chama gani au ndio ukiwa CCM basi wewe ni Muislaam Ukimuunga mkono JK wewe ni Muislaam.. Heee hizi chuki binafsi za makanisani sijui zitaisha lini hali CCM wanazidi kutupiga bao.
Na amini maneno yangu kama mtaendelea na tabia hii JK atashinda vibaya sana, wananchi hawatafuata tena chama wala sera ila dini ya mgombea na hapo mtakwisha. CCM have it all! Ina Wabunge Wakristu karibu kila jimbo lenye Wakristu wengi na Waislaam sehemu za Waislaam wengi, vyama vingine havina hata wabunge wa kutosha majimbo yote..Kazi kwenu wana kristo!
Chuki binafsi haziwezi kuzaa matunda bali mtaumia roho zenu hadi siku mnatiwa kaburini...[/QUOT

!!!!!!!!!!!!
 
nadhani hukufanya sahihi kutumia maneno makali kiasi hiki. Jamaa anayohoja ya msingi, juu ya jina la mwanaJF mwenzetu. M.M. Nkunya siku alipojiunga wengi tulisisimka na binafsi niliamua kumuuliza kama ni M.M.Nkunya tunayemjua (huenda wewe humjui ila alikuwa Chief Academic Officer wa UDSM kwa muda mrefu, baada ya hapo (mpaka sasa nadhani) ni CEO wa Tanzania Commission of Universities. Kutokana na madaraka yake huyu ni mtu muhimu ktk jamii. Jamaa kaona lugha iliyotumika haiwezi kutumiwa na Prof. M.M.Nkunya.

Nami naonelea kuwa si vema kutumia jina la mtu mwingine (kama unatumia nick name). Itakuwa si vema mtu akijitokeza jamvini kujiita J.K. Kikwete au M.L. Luhanga au I.H. Lipumba nk. Haya ni mawazo na mapendekezo binafsi, wala hakuna haja ya kuitana wajinga.

Hivi kwani kutumia Nkunya kuna akina Nkunya wangapi Tz? Acheni kutetea upuuzi.
 
Mara nyingi huwa nazipenda na kuheshimu sana thread na post zako, lakini kwa kauli hii umenikwaza. Napata wasiwasi kwamba hata watu ambao tumewazoea kuwa na hekima wanaweza wakati mwingine wakawa wehu. Sasa hapa ujinga unaanzia wapi? Kama una hoja si ulete hoja badala ya kunambia mwenzako mjinga?
Ujinga ni kumshutumu mtu kwa sababu tu amesaini jina la Nkunya..huu ndio ujinga. Tz kuna Nkunya wangapi? au Nkunya ni jina spesho kwa mtu mmoja tu? Pia mleta thread hajathibitisha popote kwamba anamjua Nkunya au ku-suggest vinginevyo.

BTW, mimi ni mwehu fulltimer hivo niweke kwenye ignore list wala usijisumbue kusoma posts za mwehu.
 
Aaaah Chuki binafsi hizi. Jamani walioandamana ni wanafunzi wanachama wa CCM mlitaka waandamane kwa chama gani au ndio ukiwa CCM basi wewe ni Muislaam Ukimuunga mkono JK wewe ni Muislaam.. Heee hizi chuki binafsi za makanisani sijui zitaisha lini hali CCM wanazidi kutupiga bao.
Na amini maneno yangu kama mtaendelea na tabia hii JK atashinda vibaya sana, wananchi hawatafuata tena chama wala sera ila dini ya mgombea na hapo mtakwisha. CCM have it all! Ina Wabunge Wakristu karibu kila jimbo lenye Wakristu wengi na Waislaam sehemu za Waislaam wengi, vyama vingine havina hata wabunge wa kutosha majimbo yote..Kazi kwenu wana kristo!
Chuki binafsi haziwezi kuzaa matunda bali mtaumia roho zenu hadi siku mnatiwa kaburini...

Mkuu this is too low by whateva standards, hivi kwa nini haya mambo ya dini dini kila mahali............as I see katika hii thread hakuna mahali kumetajwa dini. Ila wewe ndiye umeleta hii suala la dini. And if this is wht is known as readin' btn the lines basi it is pathetic. To be frank sisi wengine tunakerwa mno na mijadala ya kidinidini kama hii unayotaka kuchomekea kwenye thread ambayo haihusiani kabisa.Mkuu hata hizo link ulizotoa hakuna mahali ilipotajwa dini zaidi ya one of ur mchango kugusia hilo. Na hata mleta mada hajagusia suala lolote kuhusu dini!

As a matter of fact inaonyesha umekwishajiaminisha kwamba watoa mada against JK ni kwa sababu ya dini yake ..... ha ha ha ha!!!!! Inanikumbusha Obama aliposema I was black before the election. The like of Muungwana alikuwa na dini yake kabla ya election na akafanikiwa kuvuna more than 80% ya kura. Hivyo dini pembeni tujadili mjadala!!
 
• Ni kwa kuikejeli CCM kwa ujenzi wa UDOM


Na Martin Malera, Dodoma

KAULI ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA) kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kutekeleza nusu za ahadi zake na badala yake kinajisifia na ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) imeonyesha kumkera Rais Jakaya Kikwete.

Bila kumtaja jina, Rais Kikwete alimjibu Zitto ambaye alitoa kijembe hicho wakati akichangia bajeti ya serikali ya 2010/2011kuwa licha ya ujenzi wa UDOM kutokuwa ndani ya Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chuo hicho kimejengwa na serikali ya chama hicho.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku tatu baada Zitto kusema kuwa CCM imeshindwa kutekeleza nusu ya ahadi zake na inajisifia kwa ujenzi wa chuo hicho ambao haukuwemo kwenye ilani yake ya uchaguzi.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana wakati akiwahutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, waliofanya maandamano ya kumuunga mkono kwa hatua yake ya kutaka kuchukua fomu kuwania urais kwa awamu ya pili.

Rais Kikwete, alitamba kuwa ilani ya CCM ya mwaka 2005, imezungumzia suala la upanuzi wa elimu kwa ujumla wake, lakini serikali kupitia ilani hiyo imeamua kujenga chuo hicho, ili kutekeleza ahadi hiyo kwa wananchi.

"Nasikia kuna mtu mmoja, (Zitto) eti anasema mpango wa ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma hauko kwenye Ilani ya CCM, hiyo ni kweli hatukuandika hivyo, lakini ilani yetu inazungumzia upanuzi wa elimu kwa ujumla kuanzia ngazi ya msingi hadi vyuo vikuu."

"Upanuzi wa elimu ni pamoja na kujenga au kuboresha baadhi ya vyuo na kuvifanya viwe na hadhi ya vyuo vikuu, kwa kuzingatia ilani hiyo, pia tumejenga vyuo vipya, mfano hiki cha Dodoma, tena kwa fedha zetu za ndani. UDOM ni chuo cha kwanza kwa ukubwa, si tu nchini, bali pia barani Afrika," alisema.

Ijumaa wakati akichangia mjadala wa hotuba ya bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2011, Zitto aliishambulia CCM kwa kushindwa kuondoa umaskini nchini katika kipindi cha miaka minne iliyopita, licha ya serikali yake kuidhinishiwa zaidi ya sh trilioni 37.

Kuhusu ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Zitto ambaye alitumia maneno makali, alisema ujenzi wake hauko katika ahadi za CCM, huku akimtaka mbunge yeyote wa CCM asimame aonyeshe ni wapi ilani ya CCM ilipotoa ahadi itajenga UDOM.

"Kama kuna mbunge wa CCM anayeweza kuja kunionyesha ilani ya CCM ilitoa ahadi ya ujenzi wa UDOM, aje hapa, hakuna, hakuna, ‘nachallenge' kama yupo anayeweza kuonyesha aje, ujenzi wake ni wazo na ahadi ya CHADEMA ya mwaka 1992."

Kauli hiyo ya Zitto ilimfanya Mbunge wa Ukerewe, Dk. Getrude Mongella (CCM), ainuke kitini na kuomba mwongozo wa Spika.

Mongella alisema Zitto amelidanganya Bunge kwani kwenye Ilani ya CCM kuna sehemu inazungumzia mkakati wa kupanua elimu kwa ujumla wake, ikiwemo suala la ujenzi wa vyuo.

Katika mkutano wa jana, Rais Kikwete alizungumzia mafaniko yaliyofikiwa na serikali yake kwenye sekta ya elimu kwa mujibu wa Ilani ya CCM, ambapo imejenga shule nyingi za kata, kuongeza vyuo vikuu kikiwemo Chuo Kikuu cha Dodoma.

Alisema hali hiyo imefanya idadi ya wanafunzi wanaojiunga na sekondari iongezeke, huku idadi ya walimu wanaomaliza vyuo vikuu izidi kuongezeka.

"Kwa mfano mwaka 2005 idadi ya walimu waliomaliza vyuo ilikuwa 250, lakini sasa idadi yao imefikia 500,000, hayo ni mafanikio makubwa.

Rais Kikwete alizungumzia mpango mpya wa elimu nchini maarufu kwa jina la ‘Tanzania Beyond Tomorrow', alisema baada ya miaka mitano ijayo, kila wilaya itakuwa imeunganishwa na mtandao wa mawasilino ya Intaneti.

"Kuna watu wanasema ninapokuwa ziarani nje naenda kutembea, hapana, nimekutana na wamiliki wa kampuni kubwa za teknolijia ya mawasiliano (IT), wataalam wao wameshakuja nchini kufanya utafiti ili kutuunganisha Tanzania na barabara ya mawasiliano ya IT duniani na itafika mahali watoto wetu watakuwa wanasoma kwa kutumia kompyuta tu, tena wakiwa mbali na mwalimu wao," alisema.

Rais Kikwete, aliahidi kwamba serikali itaendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi na kuboresha kasoro zilizopo, huku akiwataka wanaodaiwa mikopo hiyo baada ya kumaliza masomo yao, warejeshe kuwapa nafasi wengine wakopeshwe.

Katika risala yao, wanafunzi hao waliomba waingizwe kwenye timu ya kampeni ya Rais Kikwete, ombi ambalo mwenyekiti huyo wa CCM aliridhia na kuagiza vijana 36 waingizwe kwenye kampeni zake.

Ombi hilo lilikubaliwa na Rais Kikwete, aliyeagiza vijana 36 kutoka vyuo vikuu mkoani hapa waingizwe kwenye kampeni zake za kuwania urais hasa wakati wa mchakato wa kusaka wadhamini 200 kutoka kila mkoa.
 
Aaaah Chuki binafsi hizi. Jamani walioandamana ni wanafunzi wanachama wa CCM mlitaka waandamane kwa chama gani au ndio ukiwa CCM basi wewe ni Muislaam Ukimuunga mkono JK wewe ni Muislaam.. Heee hizi chuki binafsi za makanisani sijui zitaisha lini hali CCM wanazidi kutupiga bao.
Na amini maneno yangu kama mtaendelea na tabia hii JK atashinda vibaya sana, wananchi hawatafuata tena chama wala sera ila dini ya mgombea na hapo mtakwisha. CCM have it all! Ina Wabunge Wakristu karibu kila jimbo lenye Wakristu wengi na Waislaam sehemu za Waislaam wengi, vyama vingine havina hata wabunge wa kutosha majimbo yote..Kazi kwenu wana kristo!
Chuki binafsi haziwezi kuzaa matunda bali mtaumia roho zenu hadi siku mnatiwa kaburini...

Hii ni aibu kwa kweli, lazima uwe disturbed si bure!
 
"Kuna watu wanasema ninapokuwa ziarani nje naenda kutembea, hapana, nimekutana na wamiliki wa kampuni kubwa za teknolijia ya mawasiliano (IT), wataalam wao wameshakuja nchini kufanya utafiti ili kutuunganisha Tanzania na barabara ya mawasiliano ya IT duniani na itafika mahali watoto wetu watakuwa wanasoma kwa kutumia kompyuta tu, tena wakiwa mbali na mwalimu wao," alisema.

Akili ileile ya utegemezi..

Halafu hizo kompyuta zitawashwa na nyasi au udongo? Umeme wenyewe coverage iko less than 15 % na hakuna plans za kuongeza capacity.
 
Ukweli unauma sana. Uchumi katika serikali ya JK uko hoi bin taabani. Hata kama anasema mambo yako sawasawa, ukweli ni kuwa mambo ni mabaya sana. JK katika kutetea hoja yake anaweza kuja na data zozote anazotaka. Yeye hata kuwa mtu wa kwanza kujitetea mahali ambapo ni dhahiri kunaonekana kuna tatizo. Na juu ya yote, bado anatamani amalizie ngwe yake ya pili.
 
mkwere kwa porojo hajambo! eti anahangaikia system ya IT ili watoto wasome kwa video conference wakati umeme upo hoi, madarasa hakuna, madawati hakuna maeneo mengine madarasa yenyewe ni chini ya miembe. Angekuwa makini angeweka bidii ktk kutatua haya matatizo madogo ya msingi.
 
Nawachukia sana hawa wanafunzi wanaoongozwa na njaa zao kwa kushabikia wasichokielewa, mikopo yao inachelewa badala ya kumuweka JK kitimoto wao wanaomba kumpigia kampeni, mianafunzi ya namna hii ovyo kabisa creating no future kwa watanzania masikini.

Further more kiwango cha elimu inayotolewa UDOM ni kidogo sana walimu wengi pale ni undergraduates na hivyo tunategemea hata products zao ni pumba tupu, natoa heko kwa best universities za tanzania ambazo ni Mzumbe, UDSM, MUHIMBILI, SUA NA IFM na kuwaomba graduates wa vyuo hivyo wasijiingize kwenye siasa za CCM
 
Back
Top Bottom