Wasomi wa Tanganyika enzi za Uhuru 1961

kuna namna alikuwa na bifu la kichinichini.
Hakuwa na bifu nao. Duniani kote jamii inayoleta majivuno huwa inatengwa kuepusha fujo, mfano mzuri Wayahudi kila kona duniani huwa inapita generation wanachukiwa.

Anzia mwanzo wa uzi uone Wachaga wanavyojiona, hio ndio sababu utasema wanachukiwa. Jamii inayojivuna ukiipa madaraka inaleta machafuko nchi yeyote maana inajiona inaweza kila kitu peke yake na ndio ina akili sana wengine vilaza, na inabagua wengine. Unatakiwa uwe na watu kama Wakinga au Wabena huwezi sikia wanajivuna wala kuwaona wengine mbwa.
 
Wako wapi kina George Kahama ambao tuliambiwa wakati tunafundishwa historia moja kuwa ndio mtanganyika wa kwanza kupata bachelor nje?.
 
Hii ndio chuki yenyewe uliyoandika apa.
Ila sikushangai maisha ndivo yalivo maana Binadamu tuna wivu sana hasa wa kijinga.
Enzi nasoma Udsm na hadi leo Vyuo vingine vyote vilikuwa vinasema Udsm hamna Elimu ya maana wanakaririshwa tu lkn yote ni sababu pale ndio waliofaulu vizuri ndio walikuwa wanachaguliwa.
Huo n Mfano tu.
Naamini hata wewe una chuki na wachaga lakini ukiangalia hamna baya waliokufanyia labda ww ndio una mabaya mengi uliowafanyia.
 
Hapa nilipo nadai Wachaga wengina nimesaidia Wachaga na nimesaidiwa nao pia.

Unaonekana una roho ya kichawi na ramli. Mtu humjui tiyari unaanza kumuelezea, uko UDSM wakati wenzako wanasoma ulikuwa unapiga vibarua vya kuosha vyombo ama nini?
Ndivyo walikufundisha kuwa mitandaoni unaweza amua kutaja huyu amefanya mabaya, huyu hajawahi fanyiwa baya, huyu ana chuki?
 
Na Mwaisela yuko wapi hadi wodi Muhimbili ikaitwa jina lake!?
 
Amri Abeid Kaluta ambye uwanja wa Arusha umepewa jina lake alikuwa na elimu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…