Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Hiyo elimu imesaidia nini nchi hii? For 63 year bado tunategemea misaada na mikopo faida ya elimu iko wapi?Wacheza bao si waliona Elimu haina maana bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo elimu imesaidia nini nchi hii? For 63 year bado tunategemea misaada na mikopo faida ya elimu iko wapi?Wacheza bao si waliona Elimu haina maana bana
Wengi walikuwa mizinguo, uzungu mwingi.Sasa hao wasomi wamefanya nini kwa nchi hii? Zaidi walikuwa machawa wa waingereza tu hamna cha maana wamefanya kwenye hii! Takataka hao
diyo ushenzi ninaouchukia eti mtu ana master hiyo master imeleta impact ipi kwenye nchi hii? Hauwezi kumkuta mchina au mjapani anahangaika na hizi elimu uchwara but they are far away from us ambao kutwa kujisifia na vielimu uchwara vya kwenye makaratasiWengi walikuwa mizinguo, uzungu mwingi.
Watu wa vigodoro huwez wakuta hapa😂😂😂Hao ndio walikuwa Wasomi Nchi hii kipindi tunapata Uhuru.
Wazee wa Pwani naona Ngoma ziliwanogea hamna hata mmoja.
View attachment 3169745
Swali la msingi sanaKuna yule mzee kila siku anasema Nyerere aliwanyima elimu watu wa dini yake anaikua hii list? Maana hapa ni Nyerere hajashika madaraka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Madrassa daraja la kwanza.Amri Abeid Kaluta ambye uwanja wa Arusha umepewa jina lake alikuwa na elimu gani?
Kwamba Nyerere hajaisaidia kitu hii Nchi?N
diyo ushenzi ninaouchukia eti mtu ana master hiyo master imeleta impact ipi kwenye nchi hii? Hauwezi kumkuta mchina au mjapani anahangaika na hizi elimu uchwara but they are far away from us ambao kutwa kujisifia na vielimu uchwara vya kwenye makaratasi
Kwamba mambo ambayo nimesaidia familia yangu nikuambie wewe? Wewe ni Nani? Miaka 63 tunategemea misaada halafu unakuja kujinasibu kwamba eti wenye elimu! Shit holeKwamba Nyerere hajaisaidia kitu hii Nchi?
Wewe una Elimu? Je umeisaidia nini Nchi mpaka saivi? Basi sio Nchi umesaidia nn Familia yako tu?
Huna unaloweza wewe. Maisha yako yanakushinda usitake kusingizia yamesababishwa na wengine pambana utoke hapo kwa Mume wa Dada yako.Una
Kwamba mambo ambayo nimesaidia familia yangu nikuambie wewe? Wewe ni Nani? Miaka 63 tunategemea misaada halafu unakuja kujinasibu kwamba eti wenye elimu! Shit hole
Shule nyingi zilikua kwao ,pia walikua na exposure kubwaKitambo sana. Wachaga hawana shughuli mbovu linapokuja swala la academic
Waisiharamu ni wapumbavu sikuzote milele daima hawana logic vichwaniKuna yule mzee kila siku anasema Nyerere aliwanyima elimu watu wa dini yake anaikua hii list? Maana hapa ni Nyerere hajashika madaraka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haya bwana@mzee kimamingo 🙌🙌Huna unaloweza wewe. Maisha yako yanakushinda usitake kusingizia yamesababishwa na wengine pambana utoke hapo kwa Mume wa Dada yako.
Na Mwaisela yuko wapi hadi wodi Muhimbili ikaitwa jina lake!?
Aliitwa Kimaro.Kuna yule mwamba alikuwa na digrii 29 (6 doctorates!) hadi Juliasi akahamisha ofisi yake kwenda London. Nani yule?
Ccm ndio shida hapa.. wasomi hawana shida. Ccm ndio tatizoSasa hao wasomi wamefanya nini kwa nchi hii? Zaidi walikuwa machawa wa waingereza tu hamna cha maana wamefanya kwenye hii! Takataka hao
Wapi Rutashobya Rwegasira?Hao ndio walikuwa Wasomi Nchi hii kipindi tunapata Uhuru.
Wazee wa Pwani naona Ngoma ziliwanogea hamna hata mmoja.
View attachment 3169745
Walikuwa wanawekwa kwa makabila...Hao ndio walikuwa Wasomi Nchi hii kipindi tunapata Uhuru.
Wazee wa Pwani naona Ngoma ziliwanogea hamna hata mmoja.
View attachment 3169745