Wasomi wengi na wanaopenda elimu wanamuunga Tundu Lisu kugombea uenyekiti. Upande Ule wengi wao Elimu Yao ni tiamaji tiamaji.

Umepiga kwenye mshono kabisa imagine simbilisi kama Yericko Nyerere ndiyo wapambe wa Sultan Mbowe
 

Attachments

  • GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    58.9 KB · Views: 2
Sema wanaharakati wasaka tongue ndio wanaomsapoti bwana roporopo
 
Hapa Tanzania tofauti inaonekana kuwa huyu ana vyeti na huyu hana... ila nje ya vyeti na picha za siku ya graduation watanzania wote tunafana akili tu
 
Sema wanaharakati wasaka tongue ndio wanaomsapoti bwana roporopo
Wasaka tonge wanamshabikia Mbowe kwa vile anawatupia makombo,tofauti na wanaomfuata Lissu wanafuta misimamo yake ambayo inaweza kuinasua Chadema kwenye mkwamo iliopo nao kwa sasa. Lissu hana hela ya kugawa kama sadaka.
 
*TAL akifanikiwa kushinda uchaguzi huu,nimuoa Binti wa Kinyatur... *
 
Tatizo lenu mnadhani waliofaulu ndio wenye upeo, kumbe kuna watu kibao wana uwezo na darasani hawakuwa bright.

Maeneo gani yameendelea, kwa viwango gani mkuu. Bado hii ni shithole country, hatuna maendeleo yoyote ya kupigiwa mfano, najua utazitaja Moshi nk kama mifano yako, ila kwangu bado sana.
 

Ushambulie ili madudu mengine yaibuliwe?
 

Huwezi tenganisha maendeleo na elimu.
Huwezi tenganisha maendeleo na akili, ujuzi na maarifa.

Nimetaja makundi zaidi ya matatu.
Mtu anaweza kuwa hakupata Elimu lakini anapenda na kuamini katika Elimu. Hilo kundi hujaliona kwenye post
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…