- Thread starter
- #21
Baada ya ku graduate sua Kama mnavyojua manzese Hakuna mashamba so nilianza kukaba watu
Au walokole nilikosea
Ulikosea sana... watabe tunalima matikiti na kutafuta vipato halali...sikiliza wimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya ku graduate sua Kama mnavyojua manzese Hakuna mashamba so nilianza kukaba watu
Au walokole nilikosea
👉Bila kumsahau P-square (BRING IT ON)👊
Jack sauti yake imependezesha wimbo, beat limepoa Sana inabidi ufanyie mabadiliko.
Video location Beach Kidimbwi au wapi mtabe.
Mkuu umetisha. Jipaange utoke kwenye ubaharia uwe nahodha.
Beat naona kama first take, ikijaziwa jaziwa instruments una maudhui na harmonization nzuri.
Ila punguza gambe.