Pre GE2025 Wassira aihakikishia Marekani uchaguzi kuwa huru na haki

Pre GE2025 Wassira aihakikishia Marekani uchaguzi kuwa huru na haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Paka anamuhakikishia panya uchaguzi wao utakuwa huru😆🤣😆
 
Simba ndiye wa kutuhakikishia mchezo wao na Azam utachezeshwa kwa haki na siyo refa wa mchezo? Na Kwa nini kaimu balozi aende kwa Simba siyo kwa waamuzi, kwani Simba ndiye msimamizi wa mchezo?. CCM mjitafakari ni wazi Mtawala wa Dunia kamuelewa Lissu. Baada ya kuongea na kaimu kapteni wa Simba subiri sasa akaongee na kapteni wa Azam. CCM mtanyoka mwaka huu. Kila balozi wa Marekani anayekuja kanyoka kama reli ya SGR.
 
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani.

Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, utakuwa huru na wa haki.

Ndg. Wasira amesema hayo leo Februari 20, 2025 alipozungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Ndugu Andrew Lentz, aliyemtembea ofisi kwake katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Wasira alimweleza kaimu balozi huyo kwamba, Tanzania ni taifa linaloendelea, hivyo amani ya nchi haiwezi kuwekwa rehani.

Katika mazungumzo yao, wawili hao walizungumzia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini baadaye mwaka huu, ambapo Wasira alimhakikishia Lentz kwamba utafanyika kwa uhuru na haki.

Alimwambia Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujiandaa kushiriki uchaguzi huo na kinatarajia kushinda kwa sababu kimetekeleza ahadi za maendeleo zilizopo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.

Kuhusu swali la Kaimu Balozi Lentz kwamba je, CCM ipo tayari kuzungumza na vyama vya upinzani, Wasira alisema ipo tayari na ndiyo msingi wa falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wasira alisema kuwa, R4 zinasisitiza mazungumzo pale ambapo kuna kutofautiana kimisimamo baina ya vyama.
View attachment 3243094View attachment 3243095View attachment 3243096
Siyo muda mrefu Trump anazungumzia Tanzania. Yaani Wasira anadhani jamaa wajinga kiasi hicho, eti CCM inahakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki. Kwa hiyo CCM anagombea, anasimamia na kutangaza matokeo. Jamaa hajuhi hata kuongea kidiplomasia anaongea kiwizi kabisa. Shame!!!!
 
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani.

Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, utakuwa huru na wa haki.

Ndg. Wasira amesema hayo leo Februari 20, 2025 alipozungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Ndugu Andrew Lentz, aliyemtembea ofisi kwake katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Wasira alimweleza kaimu balozi huyo kwamba, Tanzania ni taifa linaloendelea, hivyo amani ya nchi haiwezi kuwekwa rehani.

Katika mazungumzo yao, wawili hao walizungumzia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini baadaye mwaka huu, ambapo Wasira alimhakikishia Lentz kwamba utafanyika kwa uhuru na haki.

Alimwambia Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujiandaa kushiriki uchaguzi huo na kinatarajia kushinda kwa sababu kimetekeleza ahadi za maendeleo zilizopo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.

Kuhusu swali la Kaimu Balozi Lentz kwamba je, CCM ipo tayari kuzungumza na vyama vya upinzani, Wasira alisema ipo tayari na ndiyo msingi wa falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wasira alisema kuwa, R4 zinasisitiza mazungumzo pale ambapo kuna kutofautiana kimisimamo baina ya vyama.
View attachment 3243094View attachment 3243095View attachment 3243096
Mzee siku izi ameanza kuvaa raba ya rangi nyeusi
 
Kila msimu ndio maneno Yao. Sasa uchaguzi ulio huru na Haki unaamuliwa na chama tawala? Uundaji wa tume ya uchaguzi tayari una reflect hakuna uchaguzi huru. Hv na hao ma beberu mbona wanapenda kutuchora Sana, wanajua kabisa Hilo haliwezekani lakini wanavyosikiliza Kwa maakini utadhani sijui nn
 
Mkuu hebu litathmini hilo buti hapo kwanza nani kamtafutia mzee wetu hilo buti ?....kavaaa na soksi za kutosha 😂😂😂😂😂 huyu mzee apumzike jamani hatari sana..
 

Attachments

  • Screenshot_20250221-103801.png
    Screenshot_20250221-103801.png
    382.8 KB · Views: 2
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani.

Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, utakuwa huru na wa haki.

Ndg. Wasira amesema hayo leo Februari 20, 2025 alipozungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Ndugu Andrew Lentz, aliyemtembea ofisi kwake katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Wasira alimweleza kaimu balozi huyo kwamba, Tanzania ni taifa linaloendelea, hivyo amani ya nchi haiwezi kuwekwa rehani.

Katika mazungumzo yao, wawili hao walizungumzia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini baadaye mwaka huu, ambapo Wasira alimhakikishia Lentz kwamba utafanyika kwa uhuru na haki.

Alimwambia Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujiandaa kushiriki uchaguzi huo na kinatarajia kushinda kwa sababu kimetekeleza ahadi za maendeleo zilizopo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.

Kuhusu swali la Kaimu Balozi Lentz kwamba je, CCM ipo tayari kuzungumza na vyama vya upinzani, Wasira alisema ipo tayari na ndiyo msingi wa falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wasira alisema kuwa, R4 zinasisitiza mazungumzo pale ambapo kuna kutofautiana kimisimamo baina ya vyama.
View attachment 3243094View attachment 3243095View attachment 3243096
Duh, hilo dundo la Kasongo ni bab kubwa.
 
Lisu eti hawezi kuzungumza na Wasira!
Watu wanatoka Marekani kuja kumsikiliza Mzee Wasira na kuchota busara zake, sijui huyu Lisu anayesema hawezi kuzungumza na Mzee Wasira yeye ni nani?!
Mbona Lissu alifafanua?
Alisema walizungumza na mtangulizi wake, yaani mzee Kinana mwaka mzima, matokeo yake hakuna uboreshaji wowote uliofanywa.
Wizi wa kura na mauaji viliendelea kutamalaki kwenye uchaguzi wa 2024.

Wahenga walishasema kufanya jambo kwa namna ile ile na kutarajia matokeo tofauti ni uhayawani
 
Duh, hilo dundo la Kasongo ni bab kubwa.
Aloo jombaa 😂😂😂 nani kamnunulia mzee dundo la Reebook la kwenda? Yan hili dundo akifika lumumba mlangoni ye yupo nje dundo lipo ndani yani kama kwa ndani kulikuwa na vijana wanagombania posho za uchawa wanakaa kimya mana wanajua mwenyewe kashafika....hii ndula yake nimeikubali sana. Kuna dingi mmoja alishakuwepogi mwalimu tusiime alikuwa anaitwa Mzee Amiri alikuwa anakula Madundo kama hayo, huyu mzee mshabiki wa yanga nlikuwa naenjoy sana nkikaa nae...kila nikiliangalia dundo lake nlikuwa nacheka sana
 

Attachments

  • Screenshot_20250221-103741.png
    Screenshot_20250221-103741.png
    421.7 KB · Views: 1
Kama ccm na Wasira wake wanataka tuamini anachokisema, lazima sheria mbovu zinazolalamikiwa zerekebishwe. Uchaguzi huru na wa haki hauji kwa matamko yasiyokuwa na misingi ya kisheria. Hayo hayo yalitamkwa na mtangulizi wake, yaliyotokea mwaka jana kila mtu ameona.
 
Uchaguzi huru na haki CCM hata wabunge watano hawapati
 
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani.

Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, utakuwa huru na wa haki.

Ndg. Wasira amesema hayo leo Februari 20, 2025 alipozungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Ndugu Andrew Lentz, aliyemtembea ofisi kwake katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Wasira alimweleza kaimu balozi huyo kwamba, Tanzania ni taifa linaloendelea, hivyo amani ya nchi haiwezi kuwekwa rehani.

Katika mazungumzo yao, wawili hao walizungumzia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini baadaye mwaka huu, ambapo Wasira alimhakikishia Lentz kwamba utafanyika kwa uhuru na haki.

Alimwambia Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujiandaa kushiriki uchaguzi huo na kinatarajia kushinda kwa sababu kimetekeleza ahadi za maendeleo zilizopo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.

Kuhusu swali la Kaimu Balozi Lentz kwamba je, CCM ipo tayari kuzungumza na vyama vya upinzani, Wasira alisema ipo tayari na ndiyo msingi wa falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wasira alisema kuwa, R4 zinasisitiza mazungumzo pale ambapo kuna kutofautiana kimisimamo baina ya vyama.
View attachment 3243094View attachment 3243095View attachment 3243096
Je, ccm ipo tayari kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani? Wasira : ndiyo.
Kama ni kweli kuna ugumu gani kwa vyama vyote nchini kukubaliana kuhusu katiba mpya?
Hili swali ni mtego kwa CCM. USA wakiwa na jambo lao huwa wanaanzia mbali sana. Ccm jiangalieni!
 
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

* Azungumza na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani.

Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu, utakuwa huru na wa haki.

Ndg. Wasira amesema hayo leo Februari 20, 2025 alipozungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Ndugu Andrew Lentz, aliyemtembea ofisi kwake katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Wasira alimweleza kaimu balozi huyo kwamba, Tanzania ni taifa linaloendelea, hivyo amani ya nchi haiwezi kuwekwa rehani.

Katika mazungumzo yao, wawili hao walizungumzia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini baadaye mwaka huu, ambapo Wasira alimhakikishia Lentz kwamba utafanyika kwa uhuru na haki.

Alimwambia Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujiandaa kushiriki uchaguzi huo na kinatarajia kushinda kwa sababu kimetekeleza ahadi za maendeleo zilizopo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.

Kuhusu swali la Kaimu Balozi Lentz kwamba je, CCM ipo tayari kuzungumza na vyama vya upinzani, Wasira alisema ipo tayari na ndiyo msingi wa falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wasira alisema kuwa, R4 zinasisitiza mazungumzo pale ambapo kuna kutofautiana kimisimamo baina ya vyama.

Katika hatua nyingine, Makamu Mwenyekiti Wasira alikutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba nchini, Ndg. Yordenis Despaigne.

Makamu Mwenyekiti Wasira na balozi huyo walikubaliana kuendeleza urafiki na ushirikiano wa maendeleo katika nyanja mbalimbali ambao umedumu kwa muda mrefu tangu wakati wa utawala wa swrikali ya awamu ya kwanza chini Hayati Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania na Fidel Castro wa Cuba.

== ==
huu ni ukichaa wa wanasiasa
 
Anayeongea ni makamu mwenyekiti wa chama kitakachogombea,amejuaje kuwa utakuwa huru na haki? Na je tanzania inaihakikishia marekani kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki,je marekani ni nani mpaka ahakikishiwe? Je hamuwezi kujisimamia?
 
Back
Top Bottom