Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 422
- 489
Anayeongea ni makamu mwenyekiti wa chama tawala ambacho kina wajibu wa kuisimamia serikali kutenda haki kwa wananchi wake wote bila kujali tofauti za vyama vyao!.Anayeongea ni makamu mwenyekiti wa chama kitakachogombea,amejuaje kuwa utakuwa huru na haki? Na je tanzania inaihakikishia marekani kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki,je marekani ni nani mpaka ahakikishiwe? Je hamuwezi kujisimamia?
Ikiwa jambo liko hivyo hata akizungumza na mhe Rais hamna faida yoyote kwahiyo aniandae kwenda kulala barabarani tu kwakuwa hamna nyingine otherwise kama anataka na yeye kupewa asali ya ikulu kama anavyoamini kuwa chairman mstaafu alilamba asali ikulu kupitia Abdul ajaribu saa nyingine yeye anaweza kuwa mpinzani wa kwanza kulamba asali ikulu.Mbona Lissu alifafanua?
Alisema walizungumza na mtangulizi wake, yaani mzee Kinana mwaka mzima, matokeo yake hakuna uboreshaji wowote uliofanywa.
Wizi wa kura na mauaji viliendelea kutamalaki kwenye uchaguzi wa 2024.
Wahenga walishasema kufanya jambo kwa namna ile ile na kutarajia matokeo tofauti ni uhayawani
umeishia njiani kujibu maswali yangu mkuu.Anayeongea ni makamu mwenyekiti wa chama tawala ambacho kina wajibu wa kuisimamia serikali kutenda haki kwa wananchi wake wote bila kujali tofauti za vyama vyao!.
Kwa hiyo unapingana na Nape?Anayeongea ni makamu mwenyekiti wa chama tawala ambacho kina wajibu wa kuisimamia serikali kutenda haki kwa wananchi wake wote bila kujali tofauti za vyama vyao!.
Tumuamini Mzee Wasira.Kwa hiyo unapingana na Nape?
Kati ya wewe na yeye ni nani tumuamini?!!
View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=_IId513d4u8D2ArN
Huyo Nape na yule DC wa Longido ndo wasema kweli.Tumuamini Mzee Wasira.
Nape ni mhunimhuni fulani hivi ndiyo maana atumbuliwa nafasi yake ya uwaziri akapewa mtu mwingine.
Kwahiyo jibu tumuamini nani ni kwamba TUMUAMINI MAMA SAMIA NA MZEE WASIRA.