MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wassira kaongea ukweli mchungu.Mzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu muundo wa Serikali haitabadilika.
Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana.
Ukweli Mchungu!
Ccm wataiingiza hii nchi kwenye majanga makubwa sana, wenye nchi ni wananchi na Wala sio ccm, wananchi wakitaka serikali tatu hakuna wa kukataa.Mzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu muundo wa Serikali haitabadilika.
Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana.
Ukweli Mchungu!
Tatizo mnaota mchanaUhakika si kwa kibali chako
Katiba ya nchi siyo Sera ya vyama, hao wote hawana akili kichwani.Mzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu muundo wa Serikali haitabadilika.
Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana.
Ukweli Mchungu!
Kwa hiyo wewe una akili sana kuliko wengine wakati hata familia tu inakushinda kuongoza?Chadema imesetiwa katika wrong footing! It is very vulnerable. Ni mpaka hapo itakaposetiwa kwenye right footing ndipo itakuwa very robust, strong if you like, na reliable. Sitaki maswali, dadavua mwenyewe Nina maanisha nini
Ila wenye nafuu nyie mnaoota alasiri?Tatizo mnaota mchana
Mzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu muundo wa Serikali haitabadilika.
Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana.
Ukweli Mchungu!
Sio watanganyika sema viongozi wanufaika ndio hawaitaki !! Watanganyika mpaka wapige kura ya maoni ikisimamiwa na tume huru ndio tutajua kama watanganyika hawaitaki au wanaitaka !!Watanganyika hawaitaki tanganyika yao...
Hao ndo wenye Nchi yao na ndo washauri nguli wa SamiaAache ujinga wake, who is he (it)?
Wameanza tena hoja kuu za wanasiasa wa Tanzania ni CCM serikali mbili na Chadema tatu , CCM muungano ni legitimacy chademo hamaamini, soon utasikia wakibishania hati za muungano na madaraka ya Rais, Tanzania tuna wanasiasa wa hovyo sana hawa hawa wapinzani uchwara
USSR
Labda sababu ya uzee anafikiri kinachojadiliwa ni katiba ya ccm.Bado huyu Mzee hawezi kutofautisha kati ya maoni ya wananchi na sera za CCM?
Uko sahih San kumuonya hyu kijan mpuuzi wa cdmKwanini unamwita binadamu Sokwe?
Tena ni mheshimiwa yule, kwani ameshashika nyadhifa kubwa serikalini, usiwe hivyo mkuu.
Kwa nchi iliyojaa wajinga kama hii, zinaweza kupigwa kura chini ya tume huru kabisa ukashangaa watanganyika zaidi ya 50% wanataka waendelee na mfumo wa serikali 2.Watanganyika mpaka wapige kura ya maoni ikisimamiwa na tume huru ndio tutajua kama watanganyika hawaitaki au wanaitaka !!
Hiyo ya ku-rest unaweza ukatangulia wewe. Mungu ndiye anayejua.Hivi huyu mzee ana rest lini? Atuachie na sisi tuwe na mawazo mbadala?
HV huyo ndie baba yao na wakazi yule msaniiView attachment 2515910
Kimya kingi kina mshindo mkuu
Wanasiasa nao wanaangali upande wao kwenye hiyo katiba mpya kama hakuna wenye kuwanufaisha kisiasa moja kwa moja sasa waitaikubali hiyo katiba?Nadhani upinzani usikazanie kupata kila kitu.
Tume huru ni mwarubaini wa matatizo mengi.