Kwamba sa100 na wazanzibari wakubali kumezwa iwe 1?Kwahiyo Wa upande wa pili watake wasitake lazima iwe hivyo ??!!
Kwanini wasitake?? Wazalendo wote wanataka hivyo, anasema kinyume chake anatumiwa huyo.Kwahiyo Wa upande wa pili watake wasitake lazima iwe hivyo ??!!
HUYO MZEE NI MIONGONI MWA WAZEE MAHAFIDHINA WANAOTUHARIBIA NCHI HIIMzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.
Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?
Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
NIlikuambia una AKILI NDOGO nitakuwa nafuatilia nyuzi zako .Siasa hujui zaidi ya kushabikia ujingaYuko sahihi na kazi imerudisha tena CCM aje asaidie chama.
USSR
Ukiangalia kwa jicho la ndani utaona kabisa bila kumwaga damu CCM haipo tayariKatiba mpya bila kutembezeana mkono hakika haitapatikana
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.
Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?
Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Wasira amezeeka sana , hana hojaMzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.
Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?
Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Anadhani katiba inazingatia matakwa ya CCM au wananchi? Kama wananchi wakitaka serikali tatu CCM ni dude gani ikatae?Huyo kazeeka sana tumsamehe tuu
Huu ni spent force,Mzee Wassira
Natafuta ile picha ya koti siioniHuyo kazeeka sana tumsamehe tuu
Katiba sio Kwa Ajili ya Ccm Wala Chadema, mpuuzi mkubwaMzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.
Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?
Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mizee mipumbavu kama hii kwetu usukumani ni ya kupiga shoka ikafie mbele
Amesema sera ya chama, nami naamini hivo kuwa ata iweje CCM hawawezi kukubali serikali 3Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.
Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?
Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Msemakweli ni kura ya maoni ! Rasimu ya Warioba ilibakia kupigiwa kura ya maoni tu !! Ngoja Tusubiri tuone Abracadabra !! Yetu macho na masikio !Kwanini wasitake?? Wazalendo wote wanataka hivyo, anasema kinyume chake anatumiwa huyo.
Kazeeka lakini kaongea ukweli!Huyo kazeeka sana tumsamehe tuu