Wassira: Ieleweke wazi tunapoandika Katiba Mpya Sera ya CCM ni Serikali 2 kuelekea 1 na Siyo vinginevyo

Wassira: Ieleweke wazi tunapoandika Katiba Mpya Sera ya CCM ni Serikali 2 kuelekea 1 na Siyo vinginevyo

Kwahiyo Wa upande wa pili watake wasitake lazima iwe hivyo ??!!
Kwamba sa100 na wazanzibari wakubali kumezwa iwe 1?

Imepita miaka 60 wakiwa Nchi,

Kwann hayakufanyika haya 1961 au 1964?

Nionavyo 1 Haiwezekani, 2 imeshindikana, 3 ndo yenyewe Kwa mazingira ya sasa.

Maoni ya wananchi kutokana na Tume ya Warioba yaheshimiwe.

Aamen
 
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.

Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?

Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
HUYO MZEE NI MIONGONI MWA WAZEE MAHAFIDHINA WANAOTUHARIBIA NCHI HII
 
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.

Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?

Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.

IMG_7886.jpg
 
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.

Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?

Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Wasira amezeeka sana , hana hoja
 
Maoni ya mzee Wasira ni ya watu wanaotarajia kuishi not more than 5 years! Baada ya hapo Kama atakuwa hai hawezi Tena kutoa any sensible contribution for the country.
Maslahi binafsi kwake na kwa familia yake ni ya muhimu zaidi kulilo maslahi ya taifa!.
Tumuachie Mungu atende yake kwa mzee huyo
 
Katumwa huyo hana jipya,bila serikali moja basi tatu,huu upuuzi wa tanganyika kujificha kwenye koti la JMT hatuutaki.
 
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.

Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?

Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Katiba sio Kwa Ajili ya Ccm Wala Chadema, mpuuzi mkubwa
 
Hata iweje hio ndio kauli ya mwisho, tumieni uhuru huu uliopo wa kuichakata mbususu basi. Mtake msitake ndio iko hivo ni kiapo, tuache kujiumiza tuhangaike na pesa
 
Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.

Swali la ufahamu hiyo kauli ni ya Mzee Wassira au ya Chama cha Mapinduzi? na kama ni ya Chama cha Mapinduzi ni Kikao gani kilichojadili na kupitisha azimio hilo tangu Rais Samia atangaze kuukwamua upya mchakato wa katiba?

Wajuzi wa mambo tusaidiane uelewa.
Amesema sera ya chama, nami naamini hivo kuwa ata iweje CCM hawawezi kukubali serikali 3
 
Kwanini wasitake?? Wazalendo wote wanataka hivyo, anasema kinyume chake anatumiwa huyo.
Msemakweli ni kura ya maoni ! Rasimu ya Warioba ilibakia kupigiwa kura ya maoni tu !! Ngoja Tusubiri tuone Abracadabra !! Yetu macho na masikio !
 
Back
Top Bottom