Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
CCM NI NANI? IKUMBUKWE NCHI HII SIO MALI YA CCMMzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu muundo wa Serikali haitabadilika
Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana
Ukweli Mchungu!