Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Magufuli alitupiga sana kwenye mikopo?Mzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20. Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Lakini Magufuli alituambia anajenga uchumi kwa pesa za ndani na sio mikopo ya pesa za mabeberu.Ndiyo maana tuliingia uchumi wa kati
Charles mbowe yupo?Angalia ulivyo Choko ndiyo maana akafa
Ikulu ilikuwa na shetani....by Askofu MwingiraMagufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
NDUGAI yupo sahihi Ngoja Nchi ipigwe MNADA na UCHUMI wa KATINdiyo maana tuliingia uchumi wa kati
Dah! Kwa hizi hasira utakuwa umejichafua kwenye kamanyola hebu jicheck. [emoji3][emoji3][emoji3]Tunatumia pesa zetu za ndani kuendesha miradi ya maendereo nyoko
[emoji38][emoji38][emoji38] LegacyMzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20. Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Wasira tueleze miezi saba Trillion ngapiMzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20. Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Haya miezi saba tumekopa trillion ngapi?[emoji38][emoji38][emoji38] Legacy
Angalia ulivyo Choko ndiyo maana akafa