Wassira: Mkapa alikopa trillion 23, Jakaya alikopa trillion 20, Magufuli alikopa trillion 29

Wassira: Mkapa alikopa trillion 23, Jakaya alikopa trillion 20, Magufuli alikopa trillion 29

kwahiyo? apumzike huyu mzee
kuna picha ya wasira yupo na Nyerere nadhani ni miaka ya 70 ile,yani hawa wazee wapumzike tu,sasa imagine mtu alikuwa anapiga stories na Nyerere alafu bado tutegemee maoni yake leo
wamefanya kazi kubwa sana wakati wao,sasa watuachie vijana,ndio mambo ya kina Ndugai ni mkubwa sana yule mzee
 
Miezi saba trillion ngapi?
Hata ziwe trillion 15, kwani ni za kujengea hayo madude aliyoyaacha mwendazake, yaani unaamka asubuhi tu najenga kitu fulani, hizo ni akili?na mama atapata tabu sana, miaka yake 10, hataweza kuanzisha mradi wake mkubwa, haya ma SGR, BWAWA, DARAJA LA BUSISI, MAKAO MAKUU DODOMA!!Kazi ipo!!halafu jamaa , tunajenga kwa pesa zetu!!jamaa alikuwa muongo sana!!
MUNGU FUNDI.
 
Kwa hayati JPM , wala huhitajiki kua na Elimu ,ndo ujue ALIKOPA, NA AKAFANYA KAZI KWELIKWELI.



HILI ,HAMNA RAIS, NA TUKIKAA KIZEMBE, HAYUPO ATAKAYETUSOGEZA.
 
Kwani issue ni kukopa au matumizi ya mikopo imewanufaisha nini watanzania? Katika hao maraisi JP ndio raisi ambaye mikopo aliyochukua imeleta faida kubwa kea wananchi kwa kuwakikisha inaenda kwenye miradi iliyopangwa kwa wakati sambamba na kudhibiti ufisadi na Rushwa.
Ungetuambia ni miradi gani iliyotumia Trilioni 29 kwa miaka 5, ingekuwa poa zaidi.
 
Kwa hayati JPM , wala huhitajiki kua na Elimu ,ndo ujue ALIKOPA, NA AKAFANYA KAZI KWELIKWELI.



HILI ,HAMNA RAIS, NA TUKIKAA KIZEMBE, HAYUPO ATAKAYETUSOGEZA.
Tuambie miradi yenye thamani ya Trilioni 29 iliyotekelezwa na kukamilika katika miaka mitano. Achana na mapato ya kodi na gawio la mashirika ya imma na pesa za pension za waliokuwa watumishi hewa/vyeti feki.
 
Miradi ya Magufuli ni mikubwa kuliko wakati wowote.

Mkopo wa Magufuli ni mdogo ukilinganisha na wa mkapa..hapo naongelea mda uliopita tangu mkopo wa Mkapa uchukuliwe. Time value for money
Hiyo miradi imekwisha?sana sana amewaachia watu majanga tu, huwezi kujiuliza kwanini miradi mingi kipindi chake ilikuwa ina sua sua sana, kila mradi uko nyuma ya muda wake kumaliziki?yaani miaka 5 ukope trilioni 29, hata kama ni time value 4 money sio hivyo!!na hilo deni la awamu ya 5 ndio maana watu wengi wanapenda lifanyiwe special auditing, kwani utaratibu wa matumizi ya pesa ilikuwa kama mtu anatumia pesa zake bar!!kiongozi anazunguka na fuko la pesa kugawa tu pale anapopenda!!ila MUNGU FUNDI.
 
Na angekuwa mpenda-mikopo, zile bilion dollars za corona 2020 mwaka juzi asingeziacha. Ndiye Rais pekee Afrika aliyependekeza nchi maskini zifutiwe madeni badala ya kukopeshwa tena na kuwaongezea mzigo mzito wananchi.
Hivi dunia ya watu wenye akili huko alikuwa na ushawishwi gani?mtu ambaye anaona demokrasia ya vyama vingi ni mkosi!!siasa za enzi za kupigania uhuru ndio uzi apply karne hii, lazima u fail tu!!
Sasa kwanini alikuwa anawaaminisha wananchi wake kuwa hakopi pesa?
Huna hata kumbukumbu wewe kaa kimya, mbona alipokea bilioni 300, za WHO, ?za msaada wa covid 19, hadi bodi ya WHO, ilikuja juu kutaka kuwawajibisha walioidhinisha mkopo ule kwa TZ?!kuwa Tz hakuna corona imekuwaje wapewe pesa!!wakatakiwa wazirejeshe hakuna pesa iliyorudishwa!!
 
Hii ndio taarifa very authentic juu ya ukopaji (sio Deni la taifa) kutoka kwa kichwa hiki cha American University ndani ya viunga vya District of Columbia.
 
kwahiyo? apumzike huyu mzee
Kabisa, ilibidi iwe hivyo maana tungeuzwa kabisa....
Linganisha utendaji na miradi in just five years. Where did you put your brain?
White elephant projects ambazo sasa zimesimama kwa sababu tuliwandanganya mabeberu tunafanyia nini hizo hela... na Mama kaambiwa hatukuongezi....sasa anatembeza bakuli kujaribu kuendeleza legacy....
ATCL? Stiegler's Gorge? Chato Airport? Dodoma Capital City?

Na za wakorea tumeona daraja sababu linawahusu....zingine zilienda wapi?

 
Kabisa, ilibidi iwe hivyo maana tungeuzwa kabisa....

White elephant projects ambazo sasa zimesimama kwa sababu tuliwandanganya mabeberu tunafanyia nini hizo hela... na Mama kaambiwa hatukuongezi....sasa anatembeza bakuli kujaribu kuendeleza legacy....
ATCL? Stiegler's Gorge? Chato Airport? Dodoma Capital City?

Na za wakorea tumeona daraja sababu linawahusu....zingine zilienda wapi?

Zimesimama kwa sababu ya uzembe uzembe wa viongozi waliopo .hii nchi inatakiwa kiogozi wa kufutalia kwa ukaribu ukikaa kaa kizembe kuleteawa taarifa matokeo ndo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimesimama kwa sababu ya uzembe uzembe wa viongozi waliopo .hii nchi inatakiwa kiogozi wa kufutalia kwa ukaribu ukikaa kaa kizembe kuleteawa taarifa matokeo ndo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Katoe matongotongo kwanza ndio unijibu...
Inaonekana hata hukuona kilichopita wala kinachoendelea...
Kufuatilia bila pesa ya mradi unafuatilia nini....matobolwa?
 
Mzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20.

Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
JPM alikuwa na miradi mingi ya kumukakati, umeme wa maji, sgr, mwendokasi, wigo wa barabara, ndege, bandari etc, pia Price index, inflation toka vipindi vyote, JPM yuko vizuri.
 
Rest well our hero President John Pombe Magufuli
Rest well our hero President Benjamin William Mkapa

Msisahau kutuambia maendeleo yaliyofanyika kwenye hizo trilion23, 20 na 29
Sure, maana wengi kazi yao kuzodoa tu ma legend wetu.
 
Kwani issue ni kukopa au matumizi ya mikopo imewanufaisha nini watanzania? Katika hao maraisi JP ndio raisi ambaye mikopo aliyochukua imeleta faida kubwa kea wananchi kwa kuwakikisha inaenda kwenye miradi iliyopangwa kwa wakati sambamba na kudhibiti ufisadi na Rushwa.
Kumbuka ajira zilipigwa stop! So marndeleo at the expense of no ajira at all.
 
Rest well our hero President John Pombe Magufuli
Rest well our hero President Benjamin William Mkapa

Msisahau kutuambia maendeleo yaliyofanyika kwenye hizo trilion23, 20 na 29
angekaa miaka10 sijui angekopa kiasi gani.miradi yake yote hata nusu haijafika sasa ingeisha si angekuwa amekopa trilion mia. Afu kwanini bila aibu adanganye kuwa hakopi ina maana huyu ana tabia za uongo na kazoea biblia inasema waongo wote sehemu yao ni katika ziwa la moto yani jehanam
 
Back
Top Bottom