mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Afu kwanini bila aibu adanganye kuwa hakopi ina maana huyu ana tabia za uongo na kazoea biblia inasema waongo wote sehemu yao ni katika ziwa la moto yani jehanam
Nyie si ndio mlikua mnasisitiza kwamba hakopesheki popote😂😂😂😂 Hadi yule agent wenu akaandika barua tusikopeshwe ule mkopo wa elimu! Umeshasahau mara hii!???
Haya tuambie wapi yeye aliposema huwa hakopi?