Wassira: Mkapa alikopa trillion 23, Jakaya alikopa trillion 20, Magufuli alikopa trillion 29

Wassira: Mkapa alikopa trillion 23, Jakaya alikopa trillion 20, Magufuli alikopa trillion 29

Pamoja na mbuga za wanyama,milima,mabonde,maziwa,bahari,mito,madini ya kila aina,ardhi yenye rutuba, gesi ,bado tunakopa tuuu!

Malaysia wanategemea bandari tu lakini uchumi wao upo juu sana

Hakika Waafrika hatuna tunachochangia kwenye maendelea ya dunia
 
Magu alikua anajenga kwa pesa zetu nolimsikia akiongea kabisa, Wala didanganyi
 
Mzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20. Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Magufuli aliwadanganya sana waTZ
 
Kwani issue ni kukopa au matumizi ya mikopo imewanufaisha nini watanzania? Katika hao maraisi JP ndio raisi ambaye mikopo aliyochukua imeleta faida kubwa kea wananchi kwa kuwakikisha inaenda kwenye miradi iliyopangwa kwa wakati sambamba na kudhibiti ufisadi na Rushwa.
Na angekuwa mpenda-mikopo, zile bilion dollars za corona 2020 mwaka juzi asingeziacha. Ndiye Rais pekee Afrika aliyependekeza nchi maskini zifutiwe madeni badala ya kukopeshwa tena na kuwaongezea mzigo mzito wananchi.
 
Miradi ya Magufuli ni mikubwa kuliko wakati wowote.

Mkopo wa Magufuli ni mdogo ukilinganisha na wa mkapa..hapo naongelea mda uliopita tangu mkopo wa Mkapa uchukuliwe. Time value for money
Wengi hawalijui hili. Trillions za Mkapa au JK zina thamani kubwa zaidi kuliko pesa alizozikuta Anko wa Chato. Hapo bado haijazungumzwa namna ya utumiaji wa pesa husika.
 
Pamoja na mbuga za wanyama,milima,mabonde,maziwa,bahari,mito,madini ya kila aina,ardhi yenye rutuba, gesi ,bado tunakopa tuuu!

Malaysia wanategemea bandari tu lakini uchumi wao upo juu sana

Hakika Waafrika hatuna tunachochangia kwenye maendelea ya dunia
Labda kuchangia ujinga, maradhi & umaskini duniani!
 
Kwani issue ni kukopa au matumizi ya mikopo imewanufaisha nini watanzania? Katika hao maraisi JP ndio raisi ambaye mikopo aliyochukua imeleta faida kubwa kea wananchi kwa kuwakikisha inaenda kwenye miradi iliyopangwa kwa wakati sambamba na kudhibiti ufisadi na Rushwa.
Ona hii matako

Kikwete amekopa trillion 20 kaunga nchi nzima kwa lami, Maguful hana KM 300 za lami sehem yeyote ile, Daraja la Tanzanite n msaada wa South Korea, fly over ya Tazara msaada wa Japan, flyover ubongo n pesa za DMDP ambayo n project iliyo sainiwa na kikwete 2013 , hiyo pesa kakopa kafanya nn??

Shule za kata zote zimejengwa wakati wa kikwete.. kipind cha magu madawati tu , hiv vituo vya afya , zahanat, magu kakuta maboma , mambo yalianza 2013

Wapuuz kama ww na wenzio ndio mnadanganywa
 
Naona Mzee Wassira ama anatumika Kumsafisha Mtu au anataka Cheo au anawatafutia Wanae Fursa Serikalini na Chamani CCM kwani hata leo Asubuhi kama sijakosea alikuwa pia Magic FM na amewashutumu vilivyo wale wanaopinga Rais Samia na Serikali yake isikope na kuiingiza nchi katika Madeni mskubwa.
Uhuru wake wa kutoa maoni kwako wewe unauita 'kutumika'.
 
Kwani issue ni kukopa au matumizi ya mikopo imewanufaisha nini watanzania? Katika hao maraisi JP ndio raisi ambaye mikopo aliyochukua imeleta faida kubwa kea wananchi kwa kuwakikisha inaenda kwenye miradi iliyopangwa kwa wakati sambamba na kudhibiti ufisadi na Rushwa.
Kwanini hakuwa Muwazi?
Kwanini aliwananga wahisani kuwaita mabeberu wakati anakopa kisirisiri na kutudanganya tuna uwezo wa kujiendesha??
 
Lakini Magufuli alituambia anajenga uchumi kwa pesa za ndani na sio mikopo ya pesa za mabeberu.
He lived that principle.

Magufuli alikuwa Mtanzania wa kwanza kupendekeza kwenye cabinet ya Rais Mkapa tuanze kujenga miundombinu ya uchumi kwa nguvu zetu wenyewe.

Dar kwenda Mwanza, Tarime mpaka Kenya, lami iikuwa inaishia Dodoma. Mfadhili akasema njia hii haina traffic ya kutosha ku justify lami. John Pombe akamwambia Mkapa eff them donors! Let’s have balls to do it our damn selves. Tukajenga wenyewe. Sasa Kikwete is back by proxy, dependency syndrome in full effect.
 
Back
Top Bottom