Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn mnatuonea ss wasukuma jamn 😂😂Aliyeanzisha hiyo mitreni ya kuwabeba wasukuma ni Magufuli, na hilo Stiegler's gorge Hydro Power ni yeye Magufuli. Kwa hiyo kwa akili yako finyu unataka Rais Samia aache hiyo miradi ife? Unajua kabisa hakuna pesa aliyobakiza Magufuli, kapeleka Chato, katumia vibaya na nyingine kaipeleka kujenga Dodoma kwa Ndugai. Kule HAZINA kakomba hasa. Unategemea pesa za kumalizia miradi itoke wapi?
Vyeti feki sinaHahahaa sasa mahasira ya nini, siuende kaburini ukalie kwauchungu.
Nani aliwaambia mtengeneze vyeti feki.
Vyeti feki sina
UsiBishane na hilo lipumbavu,mijitu Hata haijui ku-adjust pesa kwa inflation rateTr 20 za 2005 na Tr29 za 2021 zipi nyingi?
Jina la mtu muuaji mnafiki na mtesaji ndiyo magu ndiyo maana namchukiaKama hamna vyeti feki mbona mkisikia jina la magu mnapandisha mashetani, ama wajombazenu walikuwa wakwepa kodi na mafisadi.
Kwa hiyo sisi vipofu si ndio? Umemisika piaUkila na kipofu usimshike mkono, by the way umemisika!!
My dear...haujaacha utata bado?....Kwa hiyo sisi vipofu si ndio? Umemisika pia
Mimi sio mtata jamaniMy dear...haujaacha utata bado?....
Mie nishatoka mafichoni, nipo mjini.
Asante sana.