Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Mimi hayo yote sijali... ninachojali ni zile kauli zake kuwa tunatekeleza mamiradi kwa fedha za ndani!!! Yule mzee alikua mwongo sana!!Kama ni kweli Magufuli alikopa trillion 29 kwa miaka 5 , kuna uwezekano madeni yalichangia kifo chake!