peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nyerere apumzike huko aliko.Taratibu za kimataifa ni kuwa nchi inakuwa na benki kuu moja tu, hivyo kwa kuwa Zanzibar siyo nchi inatumia benki kuu ya Tanzania!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere apumzike huko aliko.Taratibu za kimataifa ni kuwa nchi inakuwa na benki kuu moja tu, hivyo kwa kuwa Zanzibar siyo nchi inatumia benki kuu ya Tanzania!
Hivi taifa likishakua na deni kubwa zaidi kushindwa kulilipa huwa nini hatima yakeMzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20 mtawalia.
Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Linapigwa MnadaHivi taifa likishakua na deni kubwa zaidi kushindwa kulilipa huwa nini hatima yake
Usiogope. SGR inamatunda mwakubwa sana. Nchi zaidi ya Tano zitafanya Biashara. Tena ningekuwa mimi ningefanya SGR kuwa namba moja ili kuja kupata pesa nyingi.Sasa kama miaka 5, tu amekopa karibia trilioni 30, hata kama angemaliza muda wake cjui miaka 15 mbele, kwa mwenendo huo nchi isingekuwa ina kopesheka tena!ndio maana huwa ina sisitizwa utaratibu wa CASH BURGET, miradi yote ipo kwenye hatua tofauti tofwuti, ila hilo la bwana na SGR, ndiko kuna balaaa!!
Uamuzi wa kujenga reli ya umeme kwa umbali huo, hilo ni jini ambalo litawasumbua sana viongozi wanaokuja hata mama hata limaliza na yeye atamuachia mwingine!!kwani sio kazi ndogo ifike mwanza, kigoma , katavi, congo, Rwanda, burundi hahaaa!!!
Kwahiyo linauzwaje saaa taifa? Haifikirishi badoLinapigwa Mnada
Naunga mkono hojaUsiogope. SGR inamatunda mwakubwa sana. Nchi zaidi ya Tano zitafanya Biashara. Tena ningekuwa mimi ningefanya SGR kuwa namba moja ili kuja kupata pesa nyingi.
Kamata bandari, kamata ndege, kamata viwanja vya ndege, kamata TRA, kamata Tanesco ndivyo inavyokuwaKwahiyo linauzwaje saaa taifa? Haifikirishi bado
Kwanza inazuiliwa kuendelea kukopa na pili wale walioikopesha wanaweza kuamua kuchukua miradi waliyoifadhili na kuiendesha hadi watakaporudisha fedha zao na faida.Hivi taifa likishakua na deni kubwa zaidi kushindwa kulilipa huwa nini hatima yake
Mbona unaongea kama mkata tamaa aliekutwa road kalewa chakaliiSasa kama miaka 5, tu amekopa karibia trilioni 30, hata kama angemaliza muda wake cjui miaka 15 mbele, kwa mwenendo huo nchi isingekuwa ina kopesheka tena!ndio maana huwa ina sisitizwa utaratibu wa CASH BURGET, miradi yote ipo kwenye hatua tofauti tofwuti, ila hilo la bwana na SGR, ndiko kuna balaaa!!
Uamuzi wa kujenga reli ya umeme kwa umbali huo, hilo ni jini ambalo litawasumbua sana viongozi wanaokuja hata mama hata limaliza na yeye atamuachia mwingine!!kwani sio kazi ndogo ifike mwanza, kigoma , katavi, congo, Rwanda, burundi hahaaa!!!
Hii ndiyo hatari zaidi sasaKwanza inazuiliwa kuendelea kukopa na pili wale walioikopesha wanaweza kuamua kuchukua miradi waliyoifadhili na kuiendesha hadi watakaporudisha fedha zao na faida.
Ndiyo sababu watu wanaogopa kwani ni sawa na nchi kuuzwa!Hii ndiyo hatari zaidi sasa
Kamata bandari, kamata ndege, kamata viwanja vya ndege, kamata TRA, kamata Tanesco ndivyo inavyokuwa
Mzee Wasira yupo Star TV Hivi sasa katika kipindi cha the Big Agenda anasema kwa miaka 10 kila mmoja cha Mkapa na Jakaya walikopa trillion 23 na 20 mtawalia.
Magufuli kwa miaka 5 alikopa trillion 29.
Ni kweli bossNdiyo sababu watu wanaogopa kwani ni sawa na nchi kuuzwa!
Shida ya huyo mzee alikuwa mwongo sana .yaani uwongo ilikuwa sehemu ya maisha yake . Katika maraisi waongo huyu alitakiwa kupewa tuzo ya nobel ya uwongo alikuwa anashika namba moja dunianiLakini Magufuli alituambia anajenga uchumi kwa pesa za ndani na sio mikopo ya pesa za mabeberu.
Ukimaanisha alifanana na Prof Muhongo?Shida ya huyo mzee alikuwa mwongo sana .yaani uwongo ilikuwa sehemu ya maisha yake . Katika maraisi waongo huyu alitakiwa kupewa tuzo ya nobel ya uwongo alikuwa anashika namba moja duniani
Baba alikua mwongo yule shetani akasomeMarehemu aliongopa vya Kutosha