melanin gal
Member
- Sep 8, 2016
- 57
- 22
Few months kabla ya kustaafu kuna semina huwa wanapewa... for a week or two weeks. Mara nyingi huwa inafanyika Mwalimu nyerere memorial or vyuo vya utumishi wa umma. My dad attended the semina but ni kama haikumsaidia [emoji1787] hela zinavuruga, xinahitaji utulivu mkubwa sana wa akili