Wastani wa shilingi milioni 423 zimepigwa na kila halimashauri nchini zikiwa ni pesa za mikopo kwa vijana.

Wastani wa shilingi milioni 423 zimepigwa na kila halimashauri nchini zikiwa ni pesa za mikopo kwa vijana.

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Hii ni kwa mujibu wa riport ya CAG. Ambapo kiasi cha shilingi bilioni 80 hazionekani zilipo, pesa ambazo ukizigawa kwa halimashauri zote 187 nchini ni kila halimashauri imepoteza milioni 420. Hii haiingii akilini kabisa, iweje pesa ndefu kama hiyo wadaiwa waingie mitini. Maafisa maendeleo wa kata na wilaya wanafahamu pesa za walipakodi walikozipeleka. Binafsi The lost siamini kama serikali haijuia zilipo ila wanataka kuudanganya umma. Pesa zimepigwa na wajanja na zigo wanataka kurushiwa vijana na walemavu. Wakurugenzi watupishe na sehemu salama ya kuwapeleka ni mahakamaini.
 
Mbwa mwitu kazini, wanatutafuna haswa, waliruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao ila wasivimbiwe tu.
 
Mbwa mwitu kazini, wanatutafuna haswa, waliruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao ila wasivimbiwe tu.
Mkuu itabidi tusalimu amri bora tukawe watumwa ughaibuni ila siyo kutendwa hivi na ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom