Wastara alizwa mamilioni ya pesa na wachina

Huyo yuko location maisha yke ya kuungaunga tu aliolewa n sadifa ili apate matibabu hiyo 84m labda ya zimbabwe
 
Kwani serkal aliishirikisha mwanzoni kipind unapiga hizi dili zake? Na je ushuru kalpa?
 
Jamani hivi wastara nae kashakua brand ya kufikia kulipwa mil 400,mie warumi nilivyosikia niliguna tu maana mmh na yeye hajiongezi akili
 
Itakuwa Wachina walikuja kustuka kuwa walikosea kuchangua mhusika. Hii kazi angepata Wema ingezaa matunda.
Wema hana akili, deals ngapi kapata ila holla, labda jokate ,jide na vannesa wengine mamburula tu
 
Source bongo movie??

Huyu mdada hata kama hizo pesa kaongeza zero moja

Ila anamkosi aiseee,si ndio mlemavu wa mguu pia??

Daah wachina wale panya hawafai nawachukia balaaa
 
Source bongo movie??

Huyu mdada hata kama hizo pesa kaongeza zero moja

Ila anamkosi aiseee,si ndio mlemavu wa mguu pia??

Daah wachina wale panya hawafai nawachukia balaaa
 
Natumaini alisaini nao mikataba kazi hiyo na kiasi hicho cha fedha kiliandikwa humo na mengineyo pia.
 
Wema hana akili, deals ngapi kapata ila holla, labda jokate ,jide na vannesa wengine mamburula tu

Hao wengine sawa wana akili ila hawana bahati ukilinganisha na Wema.
 
Wasanii wa bongo muvi inabidi mjiongeze msipende vya bwerere
 
akili ndogo isije kutawala akili kubwa

ameona pa kutokea ndo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…