kwanini anaachika sasaAmani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.
Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.
LONDON BOY
Nilishinda siku mbili nachekaa eti serikali iingilie kati[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una kumbukumbu mweeh!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mimi shawahi nafas kwanza huyu jamaa akizingua tu mimi ndo nafata nikitoka mimi na wewe sasa unaweza faata
Sijawah lilia ndoa mimi
Wala sina haraka na ndoa tena zingine huwa nazikataa,mimi siki nikiolewa ni kimojaa siachiki,,
Sasa wastara kila siku kuolewa jamani hata aibu haoni
Ngoja na sie tuone yaliyomo huwezi juaa kama mbunge alishindwa gharama huyu sijui atawezaHili gazeti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna aibu. Ndoa sunna
Nitakukumbusha tuMrejesho muhimu lazima nilete
Hahahahaaaa
Ahahhaahhahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi sina shda hata nikiwa wa 17 ila niwepo kwenye rekodi tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rudi nyumbani tu tena fanya haraka
Shetani shindwaaaaaa[emoji23][emoji23]
Sawa ndugu[emoji23] [emoji23]Nitakukumbusha tu
Basi sawa, ngoja nae apate wa kumkuna[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaa mkuu kwani mwez mtukufu huwa hawaolewi unazan ramadhan ni kama kwaresima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa inaitwaje hyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja Ney akukute
Sasa shem unamaliza liniEe mwanzon