Wastara aolewa kwa mara ya saba

Wastara aolewa kwa mara ya saba

Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
kwanini anaachika sasa
nijibu kwanza hili swali
 
Back
Top Bottom