Wastara Juma aomba Watanzania tumuombee, Nyumba zake 2 zawekwa x

Wastara Juma aomba Watanzania tumuombee, Nyumba zake 2 zawekwa x

Ficus, sidhani kama kuna anayependa mwenzake adhurike. Huyu dada na bongo mie wenzake wanatumika sana na chama tawala, then wanatupwa. Sisiemu wako wapi ili wanusuru nyumba zake zisibomolewe ?
Idimi linapokuja swala la utawala bora, sheria ifuate mkondo wake, kama alijenga sehemu zisizo stahili sheria ifuate mkondo hata kama alikuwa manager campaign wake!

Lakini sio kushabikia matatizo ya mtu binafsi kwasababu ya uchama!
 
Kama ni kweli ni vyema suala hili lishughulikiwe kwa mitazamo miwili. Kwa upande wa serikali, haina budi kubomoa nyumba hizo kama sheria imekiukwa.

Kwa upande wa CCM ina wajibu wa kumpiga tafu mpiga kampeni wake celebrity. Aidha, wote CCM na serikali yake warejee sera ya kuwajali wenye ulemavu tena, kwa suala la huyu dada, ni mjane. Watoe msaada pamoja na kubomoa nyumba zake. Si vyema kushabikia tu majanga yanayomfikia pamoja na makosa yake.

Kwamba alikata viuno kwenye kampeni ya CCM si cha ajabu. Tusikasirike. Nchi yetu imesukwa kwa mtindo unaowawekea ngumu wale wote wasiojikomba kwa chama tawala na serikali yake. Wengi wasio na ujasiri au jeuri binafsi wamejikuta katika mazingira hayo.
 
  • Thanks
Reactions: GSL
Daah nimechek page ya eatv watu waki comment khs huo ujumbe wastara aliouandika, comments ni nyingi sana na 95% ya comments wanasema acha asome namba, sijui asijinyonge yani ni kama wanafurahia mwanzo mwisho, mi namuonea huruma sana kwa challenges alizopitia kwenye maisha yake. Lkn sheria ndo hivo tena inakata huku na huku though mi naamin sheria zipo kwa ajili ya kumsaidia binadam, utu utangulizwe mbele kwenye hili zoezi la sivyo cha moto tutakiona
 
Presha ipo juu tena! Alichopewa baada ya kupiga debe kanyang'anywa kwa njia nyingine, may be kisichoriziki hakiriki.
 
Na matusi juu walitukana, sasa walia nini?
ImageUploadedByJamiiForums1452093597.839868.jpg
 
Bado sio sababu ya kufurahia matatizo ya mtu binafsi! Kile kilikuwa ni kipindi cha campaign na kila mtu ana haki ya kumshabikia/kumnadi mgombea anayeona anafaa!

Kama watanzania tutaendelea kuishi kwa chuki namna hii, tena ya kipuuzi hatutafika mbali.
Eeeeeh Mungu inusuru nchi yetu na dhambi hii.
bora tusifike hata apo karibu
 
Si alijifanya mdomo mpana kama wallet iliyoharibika zipu? acha aisome namba
 
Nyodo, Maringo, Dhihaka na Kejeli za kutosha alizokuwa akizifanya Mitandaoni na Majukwaani ili kuisifia CCM huku akiwabeza wanyonge wa UKAWA ambao walikuwa wakiitwa Malofa, Wajinga na Wapumbavu, ndio zimeleta yote haya.

Alisahau kuwa Sheria ni msumeno mkuu, tena unaokata mbele na nyuma.
 
Bado sio sababu ya kufurahia matatizo ya mtu binafsi! Kile kilikuwa ni kipindi cha campaign na kila mtu ana haki ya kumshabikia/kumnadi mgombea anayeona anafaa!

Kama watanzania tutaendelea kuishi kwa chuki namna hii, tena ya kipuuzi hatutafika mbali.
Eeeeeh Mungu inusuru nchi yetu na dhambi hii.
Bado sio sababu ya kufurahia matatizo ya mtu binafsi! Kile kilikuwa ni kipindi cha campaign na kila mtu ana haki ya kumshabikia/kumnadi mgombea anayeona anafaa!

Kama watanzania tutaendelea kuishi kwa chuki namna hii, tena ya kipuuzi hatutafika mbali.
Eeeeeh Mungu inusuru nchi yetu na dhambi hii.

Mliyempenda hajaja
 
Wacha waisome namba eeeh.. Ccm mbele kwa mbelee

Tumeipenda wenyeweee chaguo letu wenyewee..
 

Attachments

  • 1452094437137.jpg
    1452094437137.jpg
    77.7 KB · Views: 34
Wacha aisome plate No iliandikwa SU soma ule.. Yeye alidhani kukata mauno kwenye majukwaa ya nyumbu ndio kaokota
 
Mbona wastara huwa ana majanga xana? hlf sielew watu mnachofurahia kwenye hii thread ni nini, matatizo yapo kwa kila mtu, wastara mbona sio bitch na mwenye show off feki kama akina wema?? lkn bado mnamsema vibaya tu
Kwa sababu ni mjinga na hajui alichokua anakishabikia,sifa na ujinga wa kubebwa mzobemzobe na li shangingi Wema ndio zimemfikisha hapa.
Watanzania mil 8 walio ikataa ccm sio wajinga ati!!!
 
Back
Top Bottom