Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Hio njia nimewahi kupita na huwa ni malele na kubishana kwenye gari t3na wanabishana kisukuma alafu wanacheka kwa sauti kubwa kweli njia nzima ni Fujo hawataki kusogea nyuma alafu wanabanan kwenye gari daah wasukuma bwana
Mbaya to tabora hio
Aisee wanaweza kufanya masikio yasiwe na usikivu, na ni njia hiyo hiyo😂😂
 
K
Kiukweli kwa ukarimu hasa ukiwa kwao ni wakarimu hasa, ishu kelele na kuongea kilugha, maana kwa lugha yao huwa wanakandamiza maneno, yahitaji uwe na msuli wa koo
 
M
Makongorosi,Lupa,Kambikatoto,Itigi,Singida to Mwanza.Dah umenikumbusha maeneo ayo mkuu,ila tulikula vumbi balaa😂😂
Mpk sasa ni vumbi kwenda mbele na huko maeneo ya Ikole ndio wanasawazisha waweke lami nadhani
 
😂😂😂
 
Hayo maviatu yenye soli kubwa si huwa tunayaita MTWANGO
 
Hilo tu? Saa zingine wanaweza fika sehemu ina muziki Mkubwa na bado anaweka muziki uliomo kwenye simu yake anasikiliza,na hilo walikusamehe tu mana ungekwazika zaidi kwa sababu ungekula midundo ya miziki ya kisukuma hadi ungenyoosha maelezo
 
wanaume wa dar utawajua tu,huwa hawaelewani na wanaume wa mikoani,na mwaka huu lazima tuoe dada zenu ikishindikana hata wake zenu mana wanawapenda watu wa mikoani,wasukuma ,wasukuma,tega wakusukumie basi,wanaume wengine mna habari za kishoga sana,au ndo nyie mulikuwa na vitengo vya kuandika wapiga kelele darasani?,
 
Wasukuma eti ni kweli ebu njooni
 
Hahahha ukwel mtupu kama mimi nilikuwa natokea Musoma kuja Mwanza..yaan shida tupuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…