Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Dawa yao unatoa na wewe simu unaweka singeli kwa sauti ya juu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kujishaua kama kote najiona nipo milima ya usambaani woiiiiii
Ulinogaaa balaa..na venye ulikuwa unafungua champagne woiii...kuna MTU nilimuona alikuwa anataka ku-com[emoji23][emoji23]
 
Nimemkumbuka ndebile,Sulusi kasanki(rip) na Malemo Juma
 
Mwangaluka wababa na wamayo,ule mhola du mayo...mwabeja kolumba gete!
Nkima ale na madako matale!
 
Shukuru hakukua na Wanyakyusa kwenye hilo gari. Ungekutana na remix ya hao wawili ungefikia hospital Mwisho wa safari yako maana kuumwa kwake kichwa kusingekua kwa kawaida kwa kelele ambazo ungekutana nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…