Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Msalimie baba gilesi kwann lkn umemuacha?
Me stakii ujinga aki vile...nikiwa saluni ananipigia simu eti nimbusu nisipombusu ananifuata mpaka nilipo halafu anaongea kwa nguvu na wakati huohuo anakuomba msamaha na msauti wake mfyuu..masikio yangu yalichoka yaani baba gilesi jamaniii khaaa
 
Me stakii ujinga aki vile...nikiwa saluni ananipigia simu eti nimbusu nisipombusu ananifuata mpaka nilipo halafu anaongea kwa nguvu na wakati huohuo anakuomba msamaha na msauti wake mfyuu..masikio yangu yalichoka yaani baba gilesi jamaniii khaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] teh ila wanajuaga kupenda hao
 
Wasukuma hawaombagi msamahaaa wanawake,msamaha ni kuhonga.
Me stakii ujinga aki vile...nikiwa saluni ananipigia simu eti nimbusu nisipombusu ananifuata mpaka nilipo halafu anaongea kwa nguvu na wakati huohuo anakuomba msamaha na msauti wake mfyuu..masikio yangu yalichoka yaani baba gilesi jamaniii khaaa
 
Mwanaume wa kisukuma kuomba msamaha ni umama,mwanaume ni kuwa mbabe
Me stakii ujinga aki vile...nikiwa saluni ananipigia simu eti nimbusu nisipombusu ananifuata mpaka nilipo halafu anaongea kwa nguvu na wakati huohuo anakuomba msamaha na msauti wake mfyuu..masikio yangu yalichoka yaani baba gilesi jamaniii khaaa
 

Ungefanya ' ukaguzi ' wa ' Kutukuka ' wa hizo Simu zao zote ungezikuta nyingi zina ' cracks ' kwani Msukuma kila anachokifanya lazima 100% nguvu itumike mno. Natamani siku moja uwabahatishe wakiwa wamekutangulia ' Chooni ' uone jinsi Kuta za ' Chooni ' zinavyopata taabu kwa ' Kusukumwa ' huku ' Njemba ' ikiwa inaratibu utokaji wa ' Makimba ' kuelekea Shimoni. Hapo bado ' hawajakujambia ' Mkuu ndiyo ' ungewakoma ' kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…