Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
Si ndio asili yetu ulitaka tuwe wajinga kama ninyi mnao abudu miungu ya waarabu na wazungu...sisi tukiingia huku huwa tunazuga tu ila kwa waganga lazima twende ndio asili yetu na mababu zetu kamwe hatuwezi acha.

Karibu upate dawa kidogo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Umenena mkuu hawa watu ni mipuuzi aisee
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
Ukiongelea uchawi sema wasukuma Wanyantuzu mkuu nishawai kushuhudia vingi Ila swala la mtu anakufa anazikwa alafu siku ya siku anaenda kukutwa kweny nyumba ya mtu hana ulimi, anakula nyuma ya mikono badala ya mbele, nywele nyingi aaah yani Wanyantuzu bn hapana aiseh
 
Si ndio asili yetu ulitaka tuwe wajinga kama ninyi mnao abudu miungu ya waarabu na wazungu...sisi tukiingia huku huwa tunazuga tu ila kwa waganga lazima twende ndio asili yetu na mababu zetu kamwe hatuwezi acha.

Karibu upate dawa kidogo.

#MaendeleoHayanaChama
Dela gawiza
 
Wasukuma wanyatuzu ac

Ukiongelea uchawi sema wasukuma Wanyantuzu mkuu nishawai kushuhudia vingi Ila swala la mtu anakufa anazikwa alafu siku ya siku anaenda kukutwa kweny nyumba ya mtu hana ulimi, anakula nyuma ya mikono badala ya mbele, nywele nyingi aaah yani Wanyantuzu bn hapana aiseh
We sema wanyantuzu ila ni wote. Nenda machimboni huko kahama Bila kuzindikkwa vijana hawaendi kuchimba dhahabu..

Ng'ombe zinazindikiwa hatari ili ziwe nyingi, nenda kajionee huko mpanda na Tabora
 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
Kuhusu mauaji ya kikatili sina ubishi
 
Back
Top Bottom