Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

ahahahaaaa!!!
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
wasukuma nao!!
 
Wakati shetani Magufuli anataka Urais miaka kumi albino waliuawa sana. Baadae ikakoma alipo pata. Hadi leo huo ujinga haupo. Magufuli shetani kabisa
Kwa hiyo unataka kusema yeye anahusikaje kwenye vifo vya albino. Jaribu kuhusisha na hii mada pia
 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
"...wameenderea kuwa fisi wanaotishia usarama wa raia..." alisikia akisema mtangazaji wa EATV
 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
Lakini kwanini mnahangaika hivyo? Huyo DC ni katibu wa chama cha siasa kinachokaribisha fisi kwenye mikutano ya siasa, muulizeni imekuwaje fisi ambao huwa wanakula pamoja ubwabwa leo wanaua raia?
 
Ukiongelea uchawi sema wasukuma Wanyantuzu mkuu nishawai kushuhudia vingi Ila swala la mtu anakufa anazikwa alafu siku ya siku anaenda kukutwa kweny nyumba ya mtu hana ulimi, anakula nyuma ya mikono badala ya mbele, nywele nyingi aaah yani Wanyantuzu bn hapana aiseh
Tusimulie kidogo
 
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja

Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao hawaijui milango ya nyumba za ibada.

Msukuma haamini maendeleo au kufanikiwa bila uchawi, Watz nguvu za giza tunaziamini sana ila hawa jamáa wamezidi, Siyo kuamini Tu ni sehemu Yao ya maisha ya Kila siku na wanapenda huwambii kitu.

Usishangae Kwa niñi mauaji mengi ya kikatili yako kanda hizo.

Ndugu zangu badilikeni, dunia iko mbali sana kuendelea kukumbatia mambo ya ajabu kama haya.

View attachment 2407732
Tuombe radhii wananzengo
 
Back
Top Bottom