Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

wote hawa waongo ukiwasachi kwenye duroo za bishara zao kuna mahirizi mpaka kwenye chupi zao bora ya wasukuma wanajiweka wazi kuliko wanao fanya kwa siri
 
Makabila mengine wanawake ndo wachawi zaidi ila hawa jamaa wanaume wachawi ni wengi sana

Matajiri wengi wa huku ni full uchawi na ndo maana hawafikii utajiri wa kina Mo
Haya tumekuelewa.

Lakini tunaomba utueleze kabila lako ni lipi lisiloamini ushirikina, ili tuangalie kama kuna anaemfikia MO utajiri.
 
Hakuna mkoa wowote tanzania usiokuwa na mambo ya kishirikina hapa Tanzania...nimetembea kote nimejionea watu hawamumini Mungu hata kidogo...mijitu mingi ni mishirikina...

Yaani dini yako ya asili ya mababu zako unaita ushirikina?kisa dini za washezi wazungu na waarabu hopeless kabisa.
 
Nasisi wasukuma **** tupo kwenye kundi gani hapo
 
Tuliosoma Theologia, jamii ya watu wanaoamini kitu cha namna hii ni very potential kwa sisi watumishi wa Mungu katika wining soul.
Mtu wa namna hii ana a,b,c kuhusu ulimwengu wa roho hivyo ni vyepesi Sana Kumwamini Mungu
 
Wasukuma wote ninaowafahamu wamechanjwa chale mikononi shingoni vifuani wengine naskia mpaka kwenye ulimiz. Kuchanjwa chale tu ni ushirikina hivyo hawa jamaa ni kweli mambo ya ulozi wanayapenda sana wanaita ndagu. Kila wanalofanya lazma waloge
 
Umekaa nao inaonyesha hivyi hawajamaa wakoje jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…