Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

ahahahaaaa!!!
wasukuma nao!!
 
Wakati shetani Magufuli anataka Urais miaka kumi albino waliuawa sana. Baadae ikakoma alipo pata. Hadi leo huo ujinga haupo. Magufuli shetani kabisa
Kwa hiyo unataka kusema yeye anahusikaje kwenye vifo vya albino. Jaribu kuhusisha na hii mada pia
 
"...wameenderea kuwa fisi wanaotishia usarama wa raia..." alisikia akisema mtangazaji wa EATV
 
Lakini kwanini mnahangaika hivyo? Huyo DC ni katibu wa chama cha siasa kinachokaribisha fisi kwenye mikutano ya siasa, muulizeni imekuwaje fisi ambao huwa wanakula pamoja ubwabwa leo wanaua raia?
 
Tusimulie kidogo
 
Tuombe radhii wananzengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…