Fala kama fala anajiona mjanja kumbe limbukeni tuKuwa lengo lenu Kuu la hii Treni yenu ya SGR ni Kusafirisha hasa Mizigo na Abiria ni kama Bonus tu ya Huduma.
Halafu nikiwadharau mnanichukia!!!
Hata likiwa la Kipumbavu kama ulivyo Mpumbavu?Tujifunze kushukuru kwa kila Jambo
Kama Mama yako Aliyekuzaa.Fala kama fala anajiona mjanja kumbe limbukeni tu
Kwa speed ya ngapi ,acha kutudanganya hapa,sana sana utatumia matatu na hapo hujafuata speed limit ya barabaraniMimi kutoka Dar hadi Moro kwa gari natumia masaa mawili tu. Ina maana ninafika mapema kuliko treni ya umeme wa bongo. Kwanza nasikia umeme ulikatika katikati ya safari. Kazi kwelikweli
Kabisa ni masaa matano moro to dar mnakua mmefika shekilango ,kutokea dar moro yanaweza kua manne na nusu sababu moro hakuna foleniHakuna basi la Dar morogoro linatumia masaa mawili uongo minimum masaa matano
Ndo umeandika nini hapa au ume lewa?GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]Mule walipandushwa wakina baba level...machawa unategemea nini tena
Ova
Jamani si tumeambiwa treni linakimbia 160kmph?Muandishi wa habari wa EATV alisema ni dakika 75 tu
Huwa mnapenda sana Kukimbilia kuniona Mkorofi pale nikiwajibu Wanaonichokoza na Kunidhalilisha kwa Matusi ya kila aina hapa JamiiForums ila huwa mnanyamaza na Kufurahia pale Wao wakianza kufanya hivyo Kwangu. Wanafiki na Wapumbavu wakubwa nyie.Mbona unahasira sana mkuu, tupe utabiri wa jumamosi na ijumaa
Huna Akili period.Jamani si tumeambiwa treni linakimbia 160kmph?
Umbali Dar to Moro ni km 300, hapo hamuwezi culculate?
Mlitaka lipae badala ya mwendo wake maxmum?
WaTz tuna ngebe sana.
Duuh aisee hapo hakuna tofauti kubwa na mtu anaye drive Dar to Moro.......Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.
Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.
GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.
Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
ulishawahi kupanda basi gani likaenda Morogoro kwa masaa mawili hivi karibuni?Huo muda si ni sawa na unaotumiwa na mabasi tu.
Wàtu wafupi wanene mnahasira, msalimie mmeo aliye kupa utabiri ukauleta katika jukwaa.Huwa mnapenda sana Kukimbilia kuniona Mkorofi pale nikiwajibu Wanaonichokoza na Kunidhalilisha kwa Matusi ya kila aina hapa JamiiForums ila huwa mnanyamaza na Kufurahia pale Wao wakianza kufanya hivyo Kwangu. Wanafiki na Wapumbavu wakubwa nyie.
Kuhusu hayo Matokeo ya Ijumaa na Jumamosi muulize Mumeo au Basha wako ndiyo watakuwa Wanayajua zaidi kwani ni Magoli yale yale tu ambayo huwa anakufunga kila Siku mkiwa 6 kwa 6.
Kwa anaye drive STM nitakubaliana na wewe ila kama ni mtumiaji wa gari za mfumo wa T *** DZZ isio jamii ya SUV kama prado au VX V8 wewe Dar kwenda Moro lazma utembee mwendo wa kobe kujihadhari n tochi masaa 6 njiani ndio unafika Moro. Ili utumie masaa mawili basi safari uianze saa 3 au 4 usiku ili ufike Moro saa 6.Duuh aisee hapo hakuna tofauti kubwa na mtu anaye drive Dar to Moro.......
kama ni hivyo mpango una walakini
😂😂😂Umesoma msg yangu vizuri? SGR imeenda 2hrs juzi. Nitajie bus linaloenda Dar-Moro 2hrs hivi karibuni. Dar Moro kwa gari sasa hivi ukijitahidi sana masaa manne.