Sawa atasema kitu naamini.Ushauri huu kaombe kwa INSIDER MAN mzee wa uber
Nenda kigamboni kwenye yatch ukale upepo wa bahari umwagilie moyo mziki kwa mbaaliWakali wa bata nipeni suggestions za place tulivu za kujiachia.
Nataka kutumia weekend hii kula bata man alone.
Sehemu ziwe zile classic zisizo na vurugu kuwe walau na muziki mzuri na warembo.
Pia kama unafahamu Airbnb nzuri nitajie nataka nikitoa leo ghetto narudi jumapili jioni.
Bajeti laki 3 tu sio class ya kiivyo napenda tu bata sehemu safi na tulivu bila kuhofia kurushiwa chupa au kwenda toilet mkojo unazagaa chini ππBajeti bei gani? How much class is classic to you?
Nenda msasani China Garden property chukua apartment/airbnb. Daka uber/bolt ikupeleke 1245 masaki for bata, usivae misendo sijui minini nini hutapewa access ya kuingia.
Mbona ni pesa ndogo sana sio gharama sanaYatch ni gharama sana. Kaucha 800k usiku mmoja kawaida sana
Wakishua wapi, tunafosi king mjini tu hapa.Bajeti laki 3 tu sio class ya kiivyo napenda tu bata sehemu safi na tulivu bila kuhofia kurushiwa chupa au kwenda toilet mkojo unazagaa chini ππ
Hizo details aisee wewe wa kishua haswa π
Ulivyoanza kwa mbwembwe nikajua unachoma hata Ml 5 kumbe laki laki ziwe tatu [emoji15] na malazi hapo hapo???Bajeti laki 3 tu sio class ya kiivyo napenda tu bata sehemu safi na tulivu bila kuhofia kurushiwa chupa au kwenda toilet mkojo unazagaa chini [emoji23][emoji23]
Hizo details aisee wewe wa kishua haswa [emoji119]
Hela ya mawazo halafu unajitutumua, umevunja kikoba nini!? [emoji1787][emoji1787]Kienyeji girl. Kila post yako ni kuchamba na kufanya vita, are you ok na maisha yako kweli!?[emoji23][emoji23]
Laki 3 sio pesa ya mawazo inatosha sana kufanya starehe. Nitumie million nafanyia nini? Mimi nataka utulivu ninywe bia nilale nitulize akili mbona kama tunashindana? ππHela ya mawazo halafu unajitutumua, umevunja kikoba nini!? [emoji1787][emoji1787]
Wakali wa bata nipeni suggestions za place tulivu za kujiachia.
Nataka kutumia weekend hii kula bata man alone.
Sehemu ziwe zile classic zisizo na vurugu kuwe walau na muziki mzuri na warembo.
Pia kama unafahamu Airbnb nzuri nitajie nataka nikitoa leo ghetto narudi jumapili jioni.