Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Nmeangalia insta pazuri sana, how much per day / night mkuu?Blackwood... ipo Kijitonyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeangalia insta pazuri sana, how much per day / night mkuu?Blackwood... ipo Kijitonyama
Bajeti laki 3 tu sio class ya kiivyo napenda tu bata sehemu safi na tulivu bila kuhofia kurushiwa chupa au kwenda toilet mkojo unazagaa chini 😂😂
Hizo details aisee wewe wa kishua haswa 🙌
Unaweza kuta hapo wewe mwenyewe hauna hata laki ila mitandaoni bhn, mna mbwembwe sana😂Hela ya mawazo halafu unajitutumua, umevunja kikoba nini!? [emoji1787][emoji1787]
Inawezekana kweli ndio maana sikuja kuomba sehemu ya kula bata... ugali wangu na bamia pembeni dagaa mchele akaaa nimeshiba ndiii.Unaweza kuta hapo wewe mwenyewe hauna hata laki ila mitandaoni bhn, mna mbwembwe sana[emoji23]
Wasaniii.....hamna kitu hapoJamiiForums imejaa watoto wa vibopa na mawaziri. Kama laki 3 mtu mmoja kutoka tu out kwenda kutuliza nafsi haitoshi
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
KanisaniWakali wa bata nipeni suggestions za place tulivu za kujiachia.
Nataka kutumia weekend hii kula bata man alone.
Sehemu ziwe zile classic zisizo na vurugu kuwe walau na muziki mzuri na warembo.
Pia kama unafahamu Airbnb nzuri nitajie nataka nikitoa leo ghetto narudi jumapili jioni.
Kama Gentleman Jack au Glenffidich ni 350k, Moet 250k je laki 3 inatoshaje....lolJamiiForums imejaa watoto wa vibopa na mawaziri. Kama laki 3 mtu mmoja kutoka tu out kwenda kutuliza nafsi haitoshi
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Unawezakuta ni kidume hicho mkuu. Maisha nyuma ya keyboard yana mauzauza mengiNgoja nimPM maana hizo hasira sio bure 😂😂
Up to dollar 95 per night.Gharama zake zipo vipi
Nilienda 1245 ni pazuri sana muziki mzuri watu wasafi. Japo bia ni expensive lakini mazingira yanaakisi bei, lazima uchanje bila kupenda.Bajeti bei gani? How much class is classic to you?
Nenda msasani China Garden property chukua apartment/airbnb. Daka uber/bolt ikupeleke 1245 masaki for bata, usivae misendo sijui minini nini hutapewa access ya kuingia.
Haaaa Nimefurahi ulipapenda, kweli lazima card zihusike maana mtu siku hizi cash tunabeba za bolt tu ….. next time tutaonana mkuu tupungiane hata kwa mbali 😀Nilienda 1245 ni pazuri sana muziki mzuri watu wasafi. Japo bia ni expensive lakini mazingira yanaakisi bei, lazima uchanje bila kupenda.
Yeah kabisa 😅Haaaa Nimefurahi ulipapenda, kweli lazima card zihusike maana mtu siku hizi cash tunabeba za bolt tu ….. next time tutaonana mkuu tupungiane hata kwa mbali 😀
Si unajua sisi sio milima tutakutana, tukiwa kama pipo…….. sijui nini nini 🎤