Mkuu, yaaani una maanisha hewa safi sio hitaji la muhimu?
Hewa safi ni muhimu sawa!! pia jua kuwa TZ hatuna na maviwanda meeengi kiivo ya kuchafua mazingira yetu km nchi zilizoendelea kiviwanda siasa na uchumi mfano nchi km Canada, Usa, Russia, Japani nk. kuanzia leo jua kuwa tuna hewa safi!
Kujipendekeza kutunza Mazingira yetu ambayo si chafuzi kiasi hicho na wakati huo huo huna dawa Hospitalini, Elimu duni, Ulinzi dhaifu,Uelewa mdogo wa unachokifanya ni matumizi mabaya ya akili, tena hatari kuliko hatari yenyewe na adhabu yake ni kifo kwa wahusika wote!! wanyongwe mpaka wafe!!
Hatukatai kuiga mazuri ya kufanya kutoka kwa wenzetu but na hili nalo tuige yaani learning blindingly tu jamani hee? fikirieni some times what are you doin!! where! for what benefit, je kutunza mazingira wakati kina Mama wajawazito wanakufa ni akili nzuri?
Hayo mazingira unataka nani ayaishi endapo watu wanao stahili kuyaishi wanakufa kwa kukosa tiba murua Mahospitalini? au ni ili upate sifa tu baasi kuwa TZ tumetunza mazingira sana !!
Sisi km taifa Huru lenye nguvu Africa na Duniani tuna vipaumbele vyetu ni
kipi kianze kwanza na kipi kiwe cha mwisho pia
lini kianze? na kwa nini kianze?
je ni kitakuwa endelevu?
km siyo kwa nini?
na tufanyeje?
Hatulipuki km moto wa kifuuu tuna akili sana siyo kwa sababu ni waafrica tu, mna tuburuza tu mnavotaka tena kwa kutumia waafrica haohao!! weee! rudi kawaelezee hao! haya ma jamaa ni moto.
ukiangalia na kupima kwa kina tena vizuri haya ni mawazo ya kuambiwa tu, yaani bila kuchanganya na zako akili utahangaika sana!! siyo kwamba hujui vipaumbele vyetu km watanzani unajua fika! hao wazungu wanakampenia nchi zao! kwa faida zao! na wao ndiyo wamechafua hasa!
Kwa mfano rahisi unao kuhusu wewe!! kule kwenu Kiribho! Kong'enyi! hakuna hewa safi kule? tangu lini kule mazingira yale yaliharibiwa? na nani? na nini kwanza tuanzie hapo! hakuna Barabara nzuri ya rami tangu zama ,
kapo kabarabara kamoja tu kabayaaa!! hako kameharibu mazingira gani?, Hospitali kubwa ya kusaidia kina mama huko Kiribho haijawahi hata kufikiriwa acha kuzungumziwa, hata madaktari wa kawaida huko hawaendagi.
tangu Uhuru wa mama zenu huko Kiribho wanakufa kwa magonjwa mbalimbali husemi. unarukia mazingira majani na miti, wakati imejaa hapo mlimani tangu kuumbwa kwa Dunia hii!
Mgonjwa kupandisha ule Mlima Kwa kutumia miguu kwenda kutafuta huduma mjini ni tabu sana, hata Baiskeli katu haipandishi ule mlima! sijui hata Punda tu hapandi ile milima, rahisi tu! tuanzie hukohuko kwenu ni wapi penye ukame unao hitaji matunzo ya miti sema!!!
Hapo nimegusia Afya ya msingi tu, bado Elimu, Ulinzi wa mali zenu nk, ( mfano hata ukizalisha miti ikafanya mazingira kuwa mazuri inahitaji ulinzi wa mara kwa mara na ulinzi ni fedha je unazo kuendeshea zoezi hili?)
Sasa mleta mada unaacha hayo masuala muhimu unataka kuzalisha miti! na misitu! sujui majani wakati imejaa mlimani kwenu hapo! wala huendi mbali hii nayo akili au? yaani mleta mada umeona miti ndo muhimu kuliko Afya ya uhai wa wazee wenu, watoto mama/Dada zenu?
Ukae hivi hivi na humu humu Jf! manake wale jamaa wa nchini Mara! walivo na hasira wale, ukienda na sera hizi za misitu kimjini mjini hawakawiagi kuwapoteza Mazimaa watu km nyie muraaa!! tutashangaa tu hatukuoni humu!
Angalia Moshi Kwa marefu na mapana yake kijani tupu, isipokuwa sehemu chache sana km hedaru, Himo, parane ndo kidoogo haparidhishi, lkn Arusha, Iringa yoote ile wilolesi yake kote ni usipime misitu ya kijaniii! kuzuriii!
Pima vizuri Mtwara mjini yote ile kuanzia Naryendele mpaka Msimbati sijui Mahulunga kulee kuelekea Msumbiji ni kijani ya kutisha ni uzalishaji tupu wa korosho unaendelea! sasa una taka nini zaidi ya hayo? hizi sera!! unajua
ila umekula cha juu kulee uzunguni wewe si bure!
Angalia Dar yetu yapendeza ya kijaniii usipime OYSTERBAY, ukitia tu mguu Lugalo yetu kutokea Mwenge kijani mpaka mlangoni, kusafiii siku hizi hatukojoi hovyo! km zamani, kisarawe ndo kabisaa chanzo cha mvua kwa Dar,
Mstu wa kisarawe unavutia tangu ukiwa pugu hills! hapajavurugwa, nenda Muhangara kulee pugu juu! ukijani wake ulio sheheni Maembe dodo tena hovyo! utadhani hauko Dar, mazingira zaidi ya hapa ni uchizi! mtuache tulivyo!
Hapo naiweka akiba Mabwe pande forest na kibaha angalia maeneo ya uwanja wa ndg kule miti mingi kusafii! bado maeneo ya IKULU ya nyerere! mawee!!! yooo! wafwaaa!! saa unatakaje?
wazee wetu wamejitahidi sana Bhana! kututunzia mazingira, usijaribu ku under estimate!! hatuna budi kuendeleza! au una lako jambo mbali na kuwasifu wanastahili pongezi kubwa sana. sijakosea! yaani kubwasana na uwaombe samahani hadharani!!
Nyerere, na Jakaya Hoyee! eeee! itikia ....