Wataalam wa nyoka huyu ni nyoka gani?

Akikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
Duuuuh
 
Itachukua miaka afutatu kuniaminisha kwamba nyoka Hana sumu🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…