Ni myotoxic mkuu. Cytotoxic ni sumu kwa seli-hai (living cells=body cells) na sumu hii cytotoxic huingilia na kuharibu utaratibu au mfumo wa seli kugawanyika /ukuaji (ref.Cytology).Puff Adder (Kifutu) sumu yake kali inaitwa cytotoxic.
Huwa nikiuliza wanasema hamnaga hiyo swala kwao na nikicheki wote wazee wa ibada sio sana ila kwingine imani hiyo sijawahi ona na Kuna mengi ila nakosa majibu nabaki na maswali.Utakua umechanjiwa dawa..uliza kwenu watakuambia
Hizi ni story unaleta nabii wa uongo.. Nyoka hana masikio[em
Ulizia SAUT main campus 2016 wanafunzi walikuwa wanapambana na nyoka ila aliponioba alilala nikaenda muua kwa kusigina kichwa na safari boot zangu. Nakumbuka ilikuwa njia ya kwenda malimbe. Wow nilijiona kidume kwelikwelHizi ni story unaleta nabii wa uongo.. Nyoka hana masikio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vifutu warefu na wafupi kutegemeana sehemu/eneo wanakopatikana
Huyo ni kifutu.. Moja ya nyoka wenye sumu kali kuliko kawaidaHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Nimesoma mahali mfupa hauna madhara mkuu.. Ni Imani zetu tuu [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa yako. Bora ung'atwe na nyoka kuliko kuchomwa na mfupa. Mfupa ukikuchoma ni issue nyingine.
Sum yake inatibika Tena kwa dawa za asiri.Akikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
Usibishe, ukiikanyaga madhara yake hayana tofauti na alie ng'atwa.Mifupa ya nyoka haiwezi kuwa na sumu
Usitegemee since kua na majibu ya kila kitu. Mengine Bado hayajagunduliwa.Sumu ya nyoka haipo kwenye mifupa. Ipo kwenye tezi zilizoko kichwani huku. Hizo za mifupa kuwa na sumu ni habari za vijiweni.
Ungekutana na huyu jamaa ungeelewa tofauti ya koboko (black mamba) na moma (kifutu).View attachment 2450497
Ungekutana na huyu jamaa ungeelewa tofauti ya koboko (black mamba) na moma (kifutu).View attachment 2450497
Hizo stori za vijiweni. Hazina ukweli wowoteUsibishe, ukiikanyaga madhara yake hayana tofauti na alie ng'atwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitegemee since kua na majibu ya kila kitu. Mengine Bado hayajagunduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni hekaya ambazo mtu mzima hutakiwi kuziamini. Mifupa ya nyoka haina sumu yoyote. Ni sawa na hekaya za kusema nyongo ya mamba ni sumuUsitegemee since kua na majibu ya kila kitu. Mengine Bado hayajagunduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeekuna sehemu inaitwa DAKAWA kule wakimbizi wa South Africa walikuwa wakifanya yao.
nimesoma kule, hao nyoka ni wengi kiasi kipindi cha mvua huwezi maliza kilometa 1 hujakutana nao chini ya 10 -20. sasa leo ndio naona hatari iliyokuwa mbele yangu kipindi hicho. sababu nyoka hawa nilikuwa nawakamata kwa mkono nikiamini hawana sumu. nilikuwa nawakamata nawatia kwenye mfuko mkubwa, ninamaanisha nilikuw nikiingia pembezoni na mifereji mikubwa kipindi cha mvua nawafuatilia kutokana wana uzito flani hivyo wakipita wanaacha trace, nilikuwa nakamata mmpaka moma 100 kwa siku mbili. kuna mzee, alikuwa anakula hawa na nilikuwa nikimuuzia moma mmoja Tsh 200, chatu 5000. nilijifunza kula nyoka kipindi hicho. sasa mmnaposema wana sumu basi nilikuwa ktk hatari kubwa na sikuwahi kuumwa na aina hiyo ya nyoka, lakini nishaumwa na nyoka wengine wengi tu si chini ya mara 7 katika harakati hizo. yaani naposema kama kuna nyoka nilikuwa siwaogopi ni hawa kumbe yana sumu?
Point of correction. Sumu yake ni cytotoxin. Inaua seli na kufanya sehemu ianze kuoza.Naongezea: Sumu yake hushambulia misuli(Myotoxin). Akikung'ata usipowahi matibabu misuli ya eneo alilong'ata itaanza kuoza taratibu na kadri sumu inavyoenea ndivyo na misuli huendelea kuathirika kwa kuoza. Ukizembea, kama ni mguu basi itabidi mguu ukatwe-hakuna dawa ya misuli iliyooza/kufa. Ila sio nyoka mkorofi na ukiwa mtulivu mnaweza kupishana tu hana shida na mtu ni mpaka aidha umkanyage au umkalie kwa bahati mbaya au awe amejeruhiwa kwa namna moja au nyingine. Harushi/hatemi mate. It is one of the timid (not active) snakes i.e. ni bozibozi, mzubaafu, duwanzi au amekaa kilegelege.
Ni mtamu sana nyama yake kushinda samaki jodari.