Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Wataalam wa ujenzi hii nyumba inaweza kugharimu kiasi gani nimeipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848]4-5m.
okayHiyo nyumba finishing tu mpaka ifikie hapo si chini ya 18m ukijibana sana
Hapo namaanisha
1.Tiles
2.Madirisha (Grill & Aluminium)
4.Milango
3.Skimming na Rangi
Wengine watasaidia gharama za kunyanyua boma mpaka kupaua
okayHiyo nyumba inachukua 40 - 50 milion mpaka hapo!
okayHiyo nyumba inachukua 40 - 50 milion mpaka hapo!
umekosa ramani zooote hata ukatamani hii?
Nyumba huwa haithamanishwi picha bali picha yaani 3D na ramani yake nfipo hesabu kamili iltapatikana.okay
Nimeipenda hiyo, mwonekano wake tuumekosa ramani zooote hata ukatamani hii?
Ww unajifunza lakini umekosea. Ilitakiwa utoe picha za nyumba (project renderings) pande zote na pia aerial view na vipimo halisi in metric au empirical system ya kila upande nk. Wote waliokupa namba ya kiasi cha fedha hawajui kitu na wote wamekuongopea. Hio picha yenye single side view haitoshi kabisa kukupa jibu hapo.
Nimeinunua mahali, nataka kuanza ujenzi. Ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri. Siwezi kutoa yenye vipimo halisi, nitakua naharibu biashara ya muuzaji wa hizo ramaniWw unajifunza lakini umekosea. Ilitakiwa utoe picha za nyumba (project renderings) pande zote na pia aerial view na vipimo halisi in metric au empirical system ya kila upande nk. Wote waliokupa namba ya kiasi cha fedha hawajui kitu na wote wamekuongopea. Hio picha yenye single side view haitoshi kabisa kukupa jibu hapo.
Nimeinunua mahali, nataka kuanza ujenzi. Ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri.
okayUngepost floor plan sasa sio hiyo picha atleast watu wangejua ina gadget zipi ungesaidiwa vzr
Wajinga watu...4-5m.
Basi nenda kwa mkadiriaji umlipe akupe makisio. Huwezi kadiria bila floor plan.Nimeinunua mahali, nataka kuanza ujenzi. Ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri. Siwezi kutoa yenye vipimo halisi, nitakua naharibu biashara ya muuzaji wa hizo ramani
Ngoja nifanye hivyo, maana hicho ndio niliogopa.Basi nenda kwa mkadiriaji umlipe akupe makisio. Huwezi kadiria bila floor plan.
Kama alivyosema mwingine.. hapa kuna wataalamu tungekuasaidia ushauri wa bure.. vipimo ni muhimu sana.. sababu Kwa Mfano.. kama ukuta una upana wa futi 10 (inch 120) na juu kina unaenda futi 9 (inch 108).. manake hapo kwa matofali ya block ya inch 9 kwa inch 6.. itatumia matofali 12 kila laini (jointi ni inch 1) mara laini 15 (kila laini ni inch 7 kina sababu joint pia ni inch 1).. jumla ni matofali 12x15= na matofali180 ya block ya inch 9x inch 6 kwa huo ukuta .. cement.. mifuko mitatu hadi mitano ya jointi. (Kutegemea na ratio uta-mix).. lenta kwa huu ukuta mmoja ni vipande vinne vya nondo kila kimoja inch 10 (sawa na futi 40 au nondo nzima).. cement ya lenta.. ya plasta.. ya zege sakafu nk. dirisha fremu na shata zake... nk.. unafanya mahesabu namna hiyo kila ukuta.. kisha mahesabu ya bati.. mbao za makench.. mbao za draft.. jipsam boards.. milango fremu.. milango shata... plumbing.. wiring... rangi.. tiles za sakafu.. nk.. Bado ww unajifunza mambo ya ujenzi.. NGOJA UPIGWE KWANZA NDIO UTAJIFUNZA.. All in all we wish you the best. Ujenzi raha sana.Nimeinunua mahali, nataka kuanza ujenzi. Ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri. Siwezi kutoa yenye vipimo halisi, nitakua naharibu biashara ya muuzaji wa hizo ramani